EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mkuu kila mpishi na namna yake, mi sijawahi kutumia hio yako ila ntajaribu. maana nafuga bata homeAnaanikwa na si kuokwa... Anaanikwa na si kutoa mafuta bali kupunguza maji mwilini mwake....
Kuoka ni sawa.. Kama una oven... Lengo ni lilelile, kwamba nyama ya bata inamaji mengi sana.. Hivyo lazima aokwe au kama unaishi kwa mtogole na hauana oven, basi njia ni hizo nilizozitaja...Mkuu kila mpishi na namna yake, mi sijawahi kutumia hio yako ila ntajaribu. maana nafuga bata home
Wewe mmasai na bata wapi na wapi?Kwa kifupi bata hapikwi siku hiyo hiyo...... Hii ni kutokana na miiili yao kuwa na maji mengi sana.... Au kama utampika siku hiyo hiyo basi hakikisha unamchinja asubuhi na anapikwa jioni... Nini Cha kufanya...
Bata ukishamnyonyoa na kutoa utumbo bata anaanikwa kwenye jua kali ama kama hakuna jua basi unamtundika jikoni pembeni kwenye jiko la mkaa ama jiko la kuni mpaka maji yote yaishe mwilini...
hapo utakaa nje hadi akauke maana KUNGURU WAKE SI MCHEZO, unaweza kimbizana nao hadi KAWEKuoka ni sawa.. Kama una oven... Lengo ni lilelile, kwamba nyama ya bata inamaji mengi sana.. Hivyo lazima aokwe au kama unaishi kwa mtogole na hauana oven, basi njia ni hizo nilizozitaja...
Kunguru wanaweza kupeleka mpaka mlandizi.hapo utakaa nje hadi akaukemaana KUNGURU WAKE SI MCHEZO, unaweza kimbizana nao hadi KAWE
Una BCBG na mimi ehh...Wewe mmasai na bata wapi na wapi?
Subiria tukitaka kuchinja ng'ombe ndipo uje kutoa huu uzushi wako!
Sasa mzee utasemaje bata ana maji mengi eti mpaka alale japo siku ili maji yamuishe?Una BCBG na mimi ehh...
Tangawizi inasaidia nini?....usisahau tangawizi kumpaka
Fuata utaratibu huu;Habari zenu machef wa jf naombeni msaada njia gani rahisi ya kumpika bata awe mtamu.Sijawahi kula bata kabisa wala kumuandaa.Mwanangu kashinda mashindano ya michezo huko shule akapata zawadi ya bata sasa sijui pa kuanzia maana nasikia hapikwi kama kuku.
Naombeni msaada kuanza kumnyonyoa vipi aishe manyoya maana ana vimalaika sana.
Harufu tu.Tangawizi inasaidia nini?
Hivi ni kweli ukimnyonyoa ukamuacha kidogo,manyoya yanaota mengine? Au uzushi tuHana tofaut na anavyopikwa kuku ila tu kumnyonyoa ndio kaz weka maji ya moto mtie humo kwa mda wa dak 5 hiv mpaka 10 toa manyoya yote vitabak vimanyoya vidogodogo tumia unga kusafisha akiwa mkavu unga wa sembe,,then kwny mapishi ni uwanja wako tu sasa mchemshe kisawasawa maana anaugum flan hiv.... ukishindwa nikaribishe nije nikusaidie kumpika km Shem hayupo lkn itakuwa vyema
Asante mkuu nimekupataKwa kifupi bata hapikwi siku hiyo hiyo...... Hii ni kutokana na miiili yao kuwa na maji mengi sana.... Au kama utampika siku hiyo hiyo basi hakikisha unamchinja asubuhi na anapikwa jioni...
Nini Cha kufanya...
Bata ukishamnyonyoa na kutoa utumbo bata anaanikwa kwenye jua kali ama kama hakuna jua basi unamtundika jikoni pembeni kwenye jiko la mkaa ama jiko la kuni mpaka maji yote yaishe mwilini...
Asante sanaa [emoji179]Fuata utaratibu huu;
1. Mchinje.
2. Mtie katika maji ya moto,kwa muda usiopungua dakika kumi.
3. Mtoe na uanze kumnyonyoa,hakikisha unatoa manyoya yote makubwa.(yanayoonekana kiurahisi).
4. Mpake unga na umsugue polepole au mbanike kwenye moto wa mkaa (ili kuondoa mabaki ya vinyoya vidogodogo).
5. Mpasue tumbo mtoe vya ndani kama huwa huli kama unakula vitoe na uvisafishe.
6. Katakata vipande tenga jikoni bila kuongeza maji,mpike hadi akauke kama anataka kuungulia.
7.Badilisha chombo cha kupikia then tia maji endelea kupika kawaida hadi aive kisawasawa.
8. Malizia kwa manjonjo yako tayari kwa kula.
Ni kweli kabisa yanaotaHivi ni kweli ukimnyonyoa ukamuacha kidogo,manyoya yanaota mengine? Au uzushi tu
Aisee nomaa,sasa inabidi umfanyaje ili upate nyama isiyo na vimanyoya [emoji30]Ni kweli kabisa yanaota
Hana tofaut na anavyopikwa kuku ila tu kumnyonyoa ndio kaz weka maji ya moto mtie humo kwa mda wa dak 5 hiv mpaka 10 toa manyoya yote vitabak vimanyoya vidogodogo tumia unga kusafisha akiwa mkavu unga wa sembe,,then kwny mapishi ni uwanja wako tu sasa mchemshe kisawasawa maana anaugum flan hiv.... ukishindwa nikaribishe nije nikusaidie kumpika km Shem hayupo lkn itakuwa vyema
Aisee nomaa,sasa inabidi umfanyaje ili upate nyama isiyo na vimanyoya [emoji30]