ningekusaidia ila mie naupenda na naujua kipika mlenda wa unga unga ule wakigogo na wakipare.
Huo mwengine ulinishinda kula naona hauna radha japo kuna siku bibi alinipikia akaweka karanga,nyanya kigogo yaani unauona kabisa kuwa mzuri na mtamu ila nilishindwa kuula.
Cc Kaizer