ningekusaidia ila mie naupenda na naujua kipika mlenda wa unga unga ule wakigogo na wakipare.
Huo mwengine ulinishinda kula naona hauna radha japo kuna siku bibi alinipikia akaweka karanga,nyanya kigogo yaani unauona kabisa kuwa mzuri na mtamu ila nilishindwa kuula.
Cc Kaizer
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.