Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 671
Lete mambo basi bi shost.
Mi nahisi unauchanganya na chumvi na pilipili kiasi then unaweka karai ya mafuta ya kukaangia then unatafuta kitu chenye matundu mfano wa mshebeki. ( apa nahisi kuna kitu special cha kupitishia unga wako) basi tena unaweka juu mchanganyiko wako so kwa chini utatoka km tambi, unakaanga kwenye karai.
Hio ni fikira tu, Sina uhakika. Lol
Lete mambo basi bi shost.
Mi nahisi unauchanganya na chumvi na pilipili kiasi then unaweka karai ya mafuta ya kukaangia then unatafuta kitu chenye matundu mfano wa mshebeki. ( apa nahisi kuna kitu special cha kupitishia unga wako) basi tena unaweka juu mchanganyiko wako so kwa chini utatoka km tambi, unakaanga kwenye karai.
Hio ni fikira tu, Sina uhakika. Lol
au kuna kile kibanio cha kupondea viazi kama ushakijua kina matundutundu…unatia ule mchanganyiko humo na kuminyaaa basi zinatoka tambi!!!Wengine hutumia chujio za bati!..hatuna makuu lol
Wengine hutumia chujio za bati!..hatuna makuu lol
au kuna kile kibanio cha kupondea viazi kama ushakijua kina matundutundu unatia ule mchanganyiko humo na kuminyaaa basi zinatoka tambi!!!
Mashine ya kutengenezea hizo tambi zionekane kama nyoka ni sh ngap?Sure hata kuna aina moja ya ladoo pia unatumia chujio au ile miko ya kutolea andaz...
Ila chauro inacho kidude maalum ntawawekea picha unaweza pata madukani
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
25-30Mashine ya kutengenezea hizo tambi zionekane kama nyoka ni sh ngap?
Asante25-30