Msaada jinsi ya kupika tambi za dengu

Msaada jinsi ya kupika tambi za dengu

Nalogo

Senior Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
119
Reaction score
31
Ninaomba msaada jinsi ya kupika tambi za dengu.tambi zile zinazo pikwa na unga wa dengu.Tambi hizi huwa zinauzwa mtaani we ngine hutia nakaranga.
 
jamani inamaana hakuna anayejua kuzipika?
 
Pepeta- 1 Kg
-
Dengu za vipande za manjano---1/2 Kg
-
Karanga (njugu) zilokiwisha kaangwa -¼ Kg
----------------
Korosho- ¼ Kg
-
Zabibu kavu---1 Kikombe
-
Chips (Crisps plain)---2 Paketi kubwa
-
Bizari ya manjano-1 kijiko cha chai
-
Sukari--¼kikombe
-
Chumvi--Kiasi
-
Ndimu ya unga 2 vijiko vya chai
-
Pilipili ya unga---1 kijiko cha supu
-
Majani ya mchuzi makavu (curry leaves)

-
Mafuta--2 vijiko vya supu
-
Mafuta mengine ya kukaangia dengu---kiasi
na pepeta katika karai -------------------------------- -
-
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
-
-
Roweka dengu tokea usiku.


Siku ya pili weka mafuta kwenye karai na kwa moto wa kiasi kaanga dengu kisha zitoe.

Kisha kaanga pepeta uzitoe, weka pembeni .


Kaanga -zabibu kidogo tu zitoe.




Tia mafuta vijiko 2 vya supu
katika kikaango (frying pan) kaanga majani ya mchuzi pamoja na bizari ya manjano.
-
Tia kwenye bakuli kubwa vitu vyote ulivyokaanga na uchanganye , pamoja na korosho, njugu na chipsi.


Nyunyuzia -sukari, ndimu ya unga, chumvi na pili pili ya unga uchanganye vyote pamoja tayari kuliwa.
-
-













Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Cheuro-2.JPG
 
Pepeta- 1 Kg
-
Dengu za vipande za manjano---1/2 Kg
-
Karanga (njugu) zilokiwisha kaangwa -¼ Kg
----------------
Korosho- ¼ Kg
-
Zabibu kavu---1 Kikombe
-
Chips (Crisps plain)---2 Paketi kubwa
-
Bizari ya manjano-1 kijiko cha chai
-
Sukari--¼kikombe
-
Chumvi--Kiasi
-
Ndimu ya unga 2 vijiko vya chai
-
Pilipili ya unga---1 kijiko cha supu
-
Majani ya mchuzi makavu (curry leaves)

-
Mafuta--2 vijiko vya supu
-
Mafuta mengine ya kukaangia dengu---kiasi
na pepeta katika karai -------------------------------- -
-
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
-
-
Roweka dengu tokea usiku.


Siku ya pili weka mafuta kwenye karai na kwa moto wa kiasi kaanga dengu kisha zitoe.

Kisha kaanga pepeta uzitoe, weka pembeni .


Kaanga -zabibu kidogo tu zitoe.




Tia mafuta vijiko 2 vya supu
katika kikaango (frying pan) kaanga majani ya mchuzi pamoja na bizari ya manjano.
-
Tia kwenye bakuli kubwa vitu vyote ulivyokaanga na uchanganye , pamoja na korosho, njugu na chipsi.


Nyunyuzia -sukari, ndimu ya unga, chumvi na pili pili ya unga uchanganye vyote pamoja tayari kuliwa.
-
-













Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
farkhina wewe umemfahamisha chauro. Yeye anataka chauro zile za dengu. Zinafanywa kwa unga wa dengu, na zinakua nyembamba refu kama tambi. Za dengu tu pekee. Ushazijua?
 
Last edited by a moderator:
farkhina wewe umemfahamisha chauro. Yeye anataka chauro zile za dengu. Zinafanywa kwa unga wa dengu, na zinakua nyembamba refu kama tambi. Za dengu tu pekee. Ushazijua?

Nazijua vizuri tu habibty ntamuekea si zile nyumbani wanauza na chipsi mhogo?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nlivoona dengu nlifkiri ni dengu zenyewe kumbe ni unga wa dengu...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Lete mambo basi bi shost.

Mi nahisi unauchanganya na chumvi na pilipili kiasi then unaweka karai ya mafuta ya kukaangia then unatafuta kitu chenye matundu mfano wa mshebeki. ( apa nahisi kuna kitu special cha kupitishia unga wako) basi tena unaweka juu mchanganyiko wako so kwa chini utatoka km tambi, unakaanga kwenye karai.

Hio ni fikira tu, Sina uhakika. Lol
 
Back
Top Bottom