Msaada jinsi ya kupunguza wivu

Msaada jinsi ya kupunguza wivu

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Ama kweli malovee hayana mwenyewe. Yaani na uhenga wangu nimekamatika na katoto ka mwaka 2000.
Muda wote tu nakahisi kama kanachepuka. Japo sijakakamata na ishu yoyote ya kutia shaka lakini nashangaa tu moyo unanienda mbio muda wote nkikafikilia.

Wadau ninyi huwa mnafanyaje kupunguza wivu?

Uzi tayari
 
Nilishawahi kuleta uzi wa namna hiyo

Kuna mkaka nilikuwa na mahusiano nae,n ana wivu kinyama

Kiufupi hakuna dawa ya wivu,labda moyo wako uache kumpenda
 
Nilishawahi kuleta uzi wa namna hiyo
Kuna mkaka nilikuwa na mahusiano nae,ana wivu kinyama

Kiufupi hakuna dawa ya wivu,labda moyo wako uache kumpenda
Na hilo ndo jibu.
 
Ama kweli malovee hayana mwenyewe. Yaani na uhenga wangu nimekamatika na katoto ka mwaka 2000.
Muda wote tu nakahisi kama kanachepuka. Japo sijakakamata na ishu yoyote ya kutia shaka lakini nashangaa tu moyo unanienda mbio muda wote nkikafikilia.
Wadau ninyi huwa mnafanyaje kupunguza wivu?

Uzi tayari
Wasi wasi ndo akili mkuu, hakika unato-mbewaa
 
Dah kuna wakati binadamu tunapitia kitu kimoja bila kujua mimi nina mgogoro mkubwa sana na wife sababu kubwa ni WIVU yani mpaka amekonda saba kwa wivu
 
Kwan ww ndio wa kwanza kuwa naye. Hata kama utakuwa ni wa1 kaa ukijua mtu mzima hachungwi mwili ni wake anampa amtakae
 
Nilishawahi kuleta uzi wa namna hiyo
Kuna mkaka nilikuwa na mahusiano nae,ana wivu kinyama

Kiufupi hakuna dawa ya wivu,labda moyo wako uache kumpenda
Me mwenyewe hapa nimekoma.Mpaka muda huu nimeamua kuachana tu na huyu bidada kwani nahisi nitapata ugonjwa wa moyo kwa wivu.
Huyu dada ni wale wadada wazuri sanaaaaa,halafu kajijua ni mzuri.
Sasa anatafutwa/tongozwa hovyohovyo.Udhaifu wake ni mwepesi kutoa namba yake,kutekeleza appointment n.k.
Juzi nimeenda naye sehemu hee!akaandikiwa namba kwenye karatasi akapewa me sijui,akanionesha nikakitupia mezani.But badae nikashangaa ile namba ipo kwenye simu yake na nikaona pia ameongea na huyo mtu kama dakika 3 hivi.

Namuuliza why umeitafuta hii namba?hana cha kusema.Nimeshamwelewa kuwa ni dhaifu na anapenda kutana na watu wapya.Nimewaza sanaaaaa nimeamua nikae pembeni aendelee na maisha yake maana nimemwonya sn hanielewi.

Mapenzi magumu sana
 
Ama kweli malovee hayana mwenyewe. Yaani na uhenga wangu nimekamatika na katoto ka mwaka 2000.
Muda wote tu nakahisi kama kanachepuka. Japo sijakakamata na ishu yoyote ya kutia shaka lakini nashangaa tu moyo unanienda mbio muda wote nkikafikilia.
Wadau ninyi huwa mnafanyaje kupunguza wivu?

Uzi tayari
Kamekupa nini muhenga 😀😀😀 tuanzie hapa kwanza
 
Ama kweli malovee hayana mwenyewe. Yaani na uhenga wangu nimekamatika na katoto ka mwaka 2000.
Muda wote tu nakahisi kama kanachepuka. Japo sijakakamata na ishu yoyote ya kutia shaka lakini nashangaa tu moyo unanienda mbio muda wote nkikafikilia.
Wadau ninyi huwa mnafanyaje kupunguza wivu?

Uzi tayari
Pole sana. Wivu husababishwa na upendo kupita kiasi. Unachotakiwa kufanya jaribu kuweka mipaka katika mawazo na matendo Yako. Kwa maana wivu mara nyingi huchangia kumpoteza umpendaye au kuleta madhara katika mahusiano Yako.

Na wakati mwingine wivu hutokana na aina ya mazingira mliyokutana mwanzo. Huwa yanachangia kuona Kila kitu kinaweza kutokea kama mlivyokutana.

Na mara nyingi Huwa unasababishwa na kutojiamini. Mfano unaweza ona uliyenaye ni mrembo Kila mtu anamtaka. Au uliyonaye anahela Kila mwanamke atamtaka kwa kipato alicho nacho. Kupenda ni hisia zako mwenyewe. Na wivu ni matatizo ambae dawa yake ni wewe mwenyewe kujitambua.
 
Back
Top Bottom