dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
- Thread starter
- #21
🤣🤣 haya haya malovee ya kawaida tuKamekupa nini muhenga 😀😀😀 tuanzie hapa kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 haya haya malovee ya kawaida tuKamekupa nini muhenga 😀😀😀 tuanzie hapa kwanza
Haiwezekani kabisaa, kuna ya ziada hapo 😀😀😀🤣🤣 haya haya malovee ya kawaida tu
Pole sana. Wivu husababishwa na upendo kupita kiasi. Unachotakiwa kufanya jaribu kuweka mipaka katika mawazo na matendo Yako. Kwa maana wivu mara nyingi huchangia kumpoteza umpendaye au kuleta madhara katika mahusiano Yako.
Na wakati mwingine wivu hutokana na aina ya mazingira mliyokutana mwanzo. Huwa yanachangia kuona Kila kitu kinaweza kutokea kama mlivyokutana.
Na mara nyingi Huwa unasababishwa na kutojiamini. Mfano unaweza ona uliyenaye ni mrembo Kila mtu anamtaka. Au uliyonaye anahela Kila mwanamke atamtaka kwa kipato alicho nacho. Kupenda ni hisia zako mwenyewe. Na wivu ni matatizo ambae dawa yake ni wewe mwenyewe kujitambua.
Na wew tabia yako ikoje? Ni kweli unachepuka?Dah kuna wakati binadamu tunapitia kitu kimoja bila kujua mimi nina mgogoro mkubwa sana na wife sababu kubwa ni WIVU yani mpaka amekonda saba kwa wivu
Umri wako tafadhali pia muoe ili moyo utulieAma kweli malovee hayana mwenyewe. Yaani na uhenga wangu nimekamatika na katoto ka mwaka 2000.
Muda wote tu nakahisi kama kanachepuka. Japo sijakakamata na ishu yoyote ya kutia shaka lakini nashangaa tu moyo unanienda mbio muda wote nkikafikilia.
Wadau ninyi huwa mnafanyaje kupunguza wivu?
Uzi tayari