Luge brown
Member
- Aug 6, 2017
- 66
- 142
Samahani wanajanvi Mimi ni mjasiriamali pia Mwanafunzi..
Sasa nmejichanga na kununua pikipiki kwa mtu (used) na likizo ndo imefika na nataka kuipeleka mkoani.
Ombi langu ni ushauri je naweza kusafirisha kwa basi??
Au nawezaje kusafirishaje ili ifike Tunduma?
Samahan kwa anaejua anisaidie.
Sasa nmejichanga na kununua pikipiki kwa mtu (used) na likizo ndo imefika na nataka kuipeleka mkoani.
Ombi langu ni ushauri je naweza kusafirisha kwa basi??
Au nawezaje kusafirishaje ili ifike Tunduma?
Samahan kwa anaejua anisaidie.