Inategemea unasafirisha wakiwa katika hali gani. Unaweza kukausha au kusafirisha wabichi na pia njia zote zina changamoto zake. Ukikausha lazima ujue walaji au soko lako linahitaji nini, mfano unaweza kausha sana au kwa kiasi kidogo tu, ukikausha sana ni hawatawahi kuoza na unaweza kusafirisha mbali zaidi. Ukisafirisha wabichi utahitaji freezer(Jokofu) na pia unahitaji kuwa na barafu za ziada kwa kulinda ubaridi, unaweza pakia ktk jokofu Mwanza na pia una tafuta mtu akuandalie vibarafu na ukifika labda Singida unaviweka ndani unaboost coldness mpaka A-town. unaweza pia fikiria kwa njia tofauti ila nadhani haya ni yamsingi ni wewe tu kuboresha.