Msaada jinsi ya kusajili VICOBA

Dodo86

Member
Joined
Oct 23, 2018
Posts
99
Reaction score
83
Habari wana JF,

Nataka kufahamu process zote za kusajili kikundi cha kikoba, kitu gani kinahitajika na wapi pakuanzia. Mwenye uzoefu naomba anifafanulie hatua zote
 
Kikoba cha aina gani unataka kusajili?
 
Uwe na katiba, fomu namba 1 fomu na 2. orodha ya viongozi na sifa zao,,,uwe na email ya kikundi, barua ya utambulisho toka serikali ya mtaa,,muhtasari wa kikao cha kuanzisha kikundi ,,na document zote hizo inabidi ziwe scanned. Baada ya hapo unaenda nazo ofisi ya maendeleo kwenye eneo unaloishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…