Uwe na katiba, fomu namba 1 fomu na 2. orodha ya viongozi na sifa zao,,,uwe na email ya kikundi, barua ya utambulisho toka serikali ya mtaa,,muhtasari wa kikao cha kuanzisha kikundi ,,na document zote hizo inabidi ziwe scanned. Baada ya hapo unaenda nazo ofisi ya maendeleo kwenye eneo unaloishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.