Msaada jinsi ya kutangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii

Msaada jinsi ya kutangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii

Ongeza24

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2023
Posts
396
Reaction score
719
Habari Wana JF,

Samahani nilikua naomba msaada jinsi ya kutangaza biashara mtandaonii kwa kutumia zile sponser au Kama Kuna njia nyingine yoyote ilimradi iwafikie watu wengi mtandaoni.

Ahsanteni 🙏
 
Kwenye sponsor ads, hakikisha post unayotaka iwe sponsored iwe clear km ni video iwe na quality nzuri zingatia kwenye hiyo post kujielezea page yako ina deal na nini, unauzaje unapatikana wapi, price zenu, mawasilano n.k (especially kama ndo mara ya kwanza kufanya sponsor)

Hakikisha instagram yako umeunganisha na facebook page (kama una acc ya biashara utaelewa) hii ni kama unataka kutangaza from instagram

Uwe na mastercard au visa mastercard inaweza kuwa ya tigo, voda au airtel au bank na visa yaweza kua ya bank.

Zingatia kwenye kufanya sponsor unataka tangazo liwe la siku ngapi liwafikie watu gani na wenye umri gani (hapa inadepend na biashara yako unaona ni ya watu gani)

Nachoka kuandika ila ni hayo tu kwa ufupi all in all make sure pia una. content nzur usiwe na boring page

All the best.
 
Ahsante kwa ufafanuzi natamni ungekuwepo hapa karibu unioneshe kwa vitendo
 
𝘒𝘢𝘮𝘢 𝘜𝘯𝘢𝘵𝘩𝘢𝘮𝘪𝘯𝘪 𝘓𝘢𝘱𝘵𝘰𝘱/𝘋𝘦𝘴𝘬𝘵𝘰𝘱 𝘺𝘢𝘬𝘰 𝘜𝘴𝘪𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪 𝘏𝘪𝘪 𝘐𝘬𝘶𝘱𝘪𝘵𝘦.....!
𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿 𝗡𝗱𝘂𝗴𝘂....
𝘏𝘢𝘵𝘢 𝘒𝘢𝘮𝘢 𝘶𝘮𝘦𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘜𝘬𝘪𝘵𝘢𝘧𝘶𝘵𝘢 𝘝𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘷𝘺𝘢 𝘓𝘢𝘱𝘵𝘰𝘱/ 𝘋𝘦𝘴𝘬𝘵𝘰𝘱 𝘬𝘸𝘢 𝘒𝘪𝘱𝘪𝘯𝘥𝘪 𝘤𝘩𝘢 𝘯𝘺𝘶𝘮𝘢 𝘣𝘪𝘭𝘢 𝘔𝘢𝘧𝘢𝘯𝘪𝘬𝘪𝘰 𝘭𝘦𝘰 𝘬𝘶𝘯𝘢 𝘚𝘶𝘭𝘶𝘩𝘪𝘴𝘩𝘰 𝘭𝘢 𝘊𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢𝘮𝘰𝘵𝘰 𝘺𝘢𝘬𝘰 𝘩𝘪𝘺𝘰, 𝘍𝘶𝘢𝘵𝘢𝘯𝘢 𝘯𝘢𝘴𝘪 𝘭𝘦𝘰..!!
𝘑𝘦 𝘜𝘯𝘢𝘫𝘶𝘢 𝘬𝘶𝘦𝘯𝘥𝘦𝘭𝘦𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘶𝘮𝘪𝘢 𝘒𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘤𝘩𝘢𝘬𝘰 𝘬𝘢𝘵𝘪𝘬𝘢 𝘶𝘵𝘢𝘳𝘢𝘵𝘪𝘣𝘶 𝘶𝘭𝘪𝘰𝘶𝘻𝘰𝘦𝘢 𝘯𝘢 𝘊𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢𝘮𝘰𝘵𝘰 𝘩𝘪𝘺𝘰 𝘶𝘯𝘢𝘸𝘦𝘻𝘢 𝘬𝘶𝘴𝘢𝘣𝘢𝘣𝘪𝘴𝘩𝘢 𝘔𝘢𝘵𝘢𝘵𝘪𝘻𝘰 𝘮𝘦𝘯𝘨𝘪𝘯𝘦 𝘻𝘢𝘪𝘥𝘪..?
𝗕𝗜𝗚𝗜𝗧𝗘𝗖𝗛 𝘬𝘸𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘢𝘮𝘣𝘶𝘢 𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘵𝘢𝘬𝘪𝘸𝘢 𝘬𝘶𝘱𝘢𝘵𝘢 𝘚𝘶𝘭𝘶𝘩𝘪𝘴𝘩𝘰 𝘩𝘪𝘭𝘰 𝘁𝘂𝗻𝗮𝗸𝘂𝗹𝗲𝘁𝗲𝗮 𝘝𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘬𝘢𝘮𝘢 𝗔𝗱𝗮𝗽𝘁𝗲𝗿, 𝗕𝗲𝘁𝗿𝗶, 𝗥𝗮𝗺, 𝗘𝘅𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 & 𝗜𝗻𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 𝗛𝗗𝗗 ( 𝘂𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘁𝗼𝗳𝗮𝘂𝘁𝗶 ), 𝗠𝗼𝘂𝘀𝗲, 𝗞𝗲𝘆𝗵𝗼𝗮𝗿𝗱, 𝗩𝗶𝗼𝗼, 𝘚𝘚𝘋, 𝗦𝘆𝘀𝘁𝗲𝗺 𝗖𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲, 𝗛𝗱𝗺𝗶, 𝗩𝗚𝗔, 𝗗𝗩𝗜 𝗰𝗮𝗯𝗹𝗲𝘀, 𝗖𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮, 𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 𝗻𝗮 𝗗𝗲𝘀𝗸𝘁𝗼𝗽.
𝗣𝗶𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗮𝘁𝗼𝗮 𝗛𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝗬𝗮 𝗨𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶 𝗪𝗮 𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 , 𝗗𝗲𝘀𝗸𝘁𝗼𝗽 𝗻𝗮 𝗦𝗶𝗺𝘂.
𝐊𝐰𝐚 𝐖𝐚𝐭𝐞𝐣𝐚 𝟐𝟓 𝐖𝐚 𝐌𝐰𝐚𝐧𝐳𝐨 𝐖𝐚𝐭𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚;
✅️𝐏𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐛𝐞𝐢
𝟏𝟎%: 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐁𝐢𝐝𝐡𝐚𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚𝐲𝐨𝐧𝐮𝐧𝐮𝐚.
✅️𝘜𝘵𝘢𝘱𝘢𝘵𝘢 𝘍𝘙𝘌𝘌 𝘋𝘌𝘓𝘐𝘝𝘌𝘙𝘠 𝘒𝘸𝘢 𝘞𝘢𝘬𝘢𝘻𝘪 𝘸𝘰𝘵𝘦 𝘸𝘢 𝘋𝘢𝘳 𝘦𝘴 𝘴𝘢𝘭𝘢𝘢𝘮.
✅️𝘛𝘶𝘵𝘢𝘧𝘢𝘯𝘺𝘢 𝘜𝘤𝘩𝘶𝘯𝘨𝘶𝘻𝘪 𝘉𝘜𝘙𝘌𝘌 𝘸𝘢 𝘒𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘤𝘩𝘢𝘬𝘰 𝘬𝘶𝘫𝘶𝘢 𝘊𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢𝘮𝘰𝘵𝘰 𝘪𝘯𝘢𝘺𝘰𝘬𝘪𝘬𝘶𝘮𝘣𝘢.
𝐎𝐟𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐢𝐧𝐚𝐝𝐮𝐦𝐮 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝘒𝘦𝘴𝘩𝘰 𝐬𝐚𝐚 𝟔:𝟎𝟎 𝐔𝐬𝐢𝐤𝐮, 𝘯𝘢 𝘪𝘥𝘢𝘥𝘪 𝘪𝘬𝘪𝘧𝘪𝘬𝘢 𝘬𝘢𝘣𝘭𝘢 𝘺𝘢 𝘮𝘶𝘥𝘢 𝘩𝘶𝘰 𝘵𝘶𝘯𝘢𝘧𝘶𝘯𝘨𝘢 𝘖𝘧𝘢 𝘩𝘪𝘪, 𝐣𝐞 𝐔𝐧𝐠𝐚𝐭𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐌𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐧𝐢 𝐦𝐰𝐚 𝐖𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚𝐧𝐮𝐟𝐚𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐎𝐟𝐚!?
𝗧𝘂𝗽𝗶𝗴𝗶𝗲/ 𝗧𝘂𝗺𝗮 𝗦𝗠𝗦/ 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽
📲𝟬𝟲𝟮𝟴𝟳𝟮𝟮𝟯𝟴𝟮
📲0696488512
 
𝘒𝘢𝘮𝘢 𝘜𝘯𝘢𝘵𝘩𝘢𝘮𝘪𝘯𝘪 𝘓𝘢𝘱𝘵𝘰𝘱/𝘋𝘦𝘴𝘬𝘵𝘰𝘱 𝘺𝘢𝘬𝘰 𝘜𝘴𝘪𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪 𝘏𝘪𝘪 𝘐𝘬𝘶𝘱𝘪𝘵𝘦.....!
𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿 𝗡𝗱𝘂𝗴𝘂....
𝘏𝘢𝘵𝘢 𝘒𝘢𝘮𝘢 𝘶𝘮𝘦𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘜𝘬𝘪𝘵𝘢𝘧𝘶𝘵𝘢 𝘝𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘷𝘺𝘢 𝘓𝘢𝘱𝘵𝘰𝘱/ 𝘋𝘦𝘴𝘬𝘵𝘰𝘱 𝘬𝘸𝘢 𝘒𝘪𝘱𝘪𝘯𝘥𝘪 𝘤𝘩𝘢 𝘯𝘺𝘶𝘮𝘢 𝘣𝘪𝘭𝘢 𝘔𝘢𝘧𝘢𝘯𝘪𝘬𝘪𝘰 𝘭𝘦𝘰 𝘬𝘶𝘯𝘢 𝘚𝘶𝘭𝘶𝘩𝘪𝘴𝘩𝘰 𝘭𝘢 𝘊𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢𝘮𝘰𝘵𝘰 𝘺𝘢𝘬𝘰 𝘩𝘪𝘺𝘰, 𝘍𝘶𝘢𝘵𝘢𝘯𝘢 𝘯𝘢𝘴𝘪 𝘭𝘦𝘰..!!
𝘑𝘦 𝘜𝘯𝘢𝘫𝘶𝘢 𝘬𝘶𝘦𝘯𝘥𝘦𝘭𝘦𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘶𝘮𝘪𝘢 𝘒𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘤𝘩𝘢𝘬𝘰 𝘬𝘢𝘵𝘪𝘬𝘢 𝘶𝘵𝘢𝘳𝘢𝘵𝘪𝘣𝘶 𝘶𝘭𝘪𝘰𝘶𝘻𝘰𝘦𝘢 𝘯𝘢 𝘊𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢𝘮𝘰𝘵𝘰 𝘩𝘪𝘺𝘰 𝘶𝘯𝘢𝘸𝘦𝘻𝘢 𝘬𝘶𝘴𝘢𝘣𝘢𝘣𝘪𝘴𝘩𝘢 𝘔𝘢𝘵𝘢𝘵𝘪𝘻𝘰 𝘮𝘦𝘯𝘨𝘪𝘯𝘦 𝘻𝘢𝘪𝘥𝘪..?
𝗕𝗜𝗚𝗜𝗧𝗘𝗖𝗛 𝘬𝘸𝘢 𝘬𝘶𝘵𝘢𝘮𝘣𝘶𝘢 𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘵𝘢𝘬𝘪𝘸𝘢 𝘬𝘶𝘱𝘢𝘵𝘢 𝘚𝘶𝘭𝘶𝘩𝘪𝘴𝘩𝘰 𝘩𝘪𝘭𝘰 𝘁𝘂𝗻𝗮𝗸𝘂𝗹𝗲𝘁𝗲𝗮 𝘝𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘬𝘢𝘮𝘢 𝗔𝗱𝗮𝗽𝘁𝗲𝗿, 𝗕𝗲𝘁𝗿𝗶, 𝗥𝗮𝗺, 𝗘𝘅𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 & 𝗜𝗻𝘁𝗲𝗿𝗻𝗮𝗹 𝗛𝗗𝗗 ( 𝘂𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘁𝗼𝗳𝗮𝘂𝘁𝗶 ), 𝗠𝗼𝘂𝘀𝗲, 𝗞𝗲𝘆𝗵𝗼𝗮𝗿𝗱, 𝗩𝗶𝗼𝗼, 𝘚𝘚𝘋, 𝗦𝘆𝘀𝘁𝗲𝗺 𝗖𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲, 𝗛𝗱𝗺𝗶, 𝗩𝗚𝗔, 𝗗𝗩𝗜 𝗰𝗮𝗯𝗹𝗲𝘀, 𝗖𝗮𝗺𝗲𝗿𝗮, 𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 𝗻𝗮 𝗗𝗲𝘀𝗸𝘁𝗼𝗽.
𝗣𝗶𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗮𝘁𝗼𝗮 𝗛𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝗬𝗮 𝗨𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶 𝗪𝗮 𝗟𝗮𝗽𝘁𝗼𝗽 , 𝗗𝗲𝘀𝗸𝘁𝗼𝗽 𝗻𝗮 𝗦𝗶𝗺𝘂.
𝐊𝐰𝐚 𝐖𝐚𝐭𝐞𝐣𝐚 𝟐𝟓 𝐖𝐚 𝐌𝐰𝐚𝐧𝐳𝐨 𝐖𝐚𝐭𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚;
✅️𝐏𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐛𝐞𝐢
𝟏𝟎%: 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐁𝐢𝐝𝐡𝐚𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚𝐲𝐨𝐧𝐮𝐧𝐮𝐚.
✅️𝘜𝘵𝘢𝘱𝘢𝘵𝘢 𝘍𝘙𝘌𝘌 𝘋𝘌𝘓𝘐𝘝𝘌𝘙𝘠 𝘒𝘸𝘢 𝘞𝘢𝘬𝘢𝘻𝘪 𝘸𝘰𝘵𝘦 𝘸𝘢 𝘋𝘢𝘳 𝘦𝘴 𝘴𝘢𝘭𝘢𝘢𝘮.
✅️𝘛𝘶𝘵𝘢𝘧𝘢𝘯𝘺𝘢 𝘜𝘤𝘩𝘶𝘯𝘨𝘶𝘻𝘪 𝘉𝘜𝘙𝘌𝘌 𝘸𝘢 𝘒𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘤𝘩𝘢𝘬𝘰 𝘬𝘶𝘫𝘶𝘢 𝘊𝘩𝘢𝘯𝘨𝘢𝘮𝘰𝘵𝘰 𝘪𝘯𝘢𝘺𝘰𝘬𝘪𝘬𝘶𝘮𝘣𝘢.
𝐎𝐟𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐢𝐧𝐚𝐝𝐮𝐦𝐮 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝘒𝘦𝘴𝘩𝘰 𝐬𝐚𝐚 𝟔:𝟎𝟎 𝐔𝐬𝐢𝐤𝐮, 𝘯𝘢 𝘪𝘥𝘢𝘥𝘪 𝘪𝘬𝘪𝘧𝘪𝘬𝘢 𝘬𝘢𝘣𝘭𝘢 𝘺𝘢 𝘮𝘶𝘥𝘢 𝘩𝘶𝘰 𝘵𝘶𝘯𝘢𝘧𝘶𝘯𝘨𝘢 𝘖𝘧𝘢 𝘩𝘪𝘪, 𝐣𝐞 𝐔𝐧𝐠𝐚𝐭𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐌𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐧𝐢 𝐦𝐰𝐚 𝐖𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚𝐧𝐮𝐟𝐚𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐎𝐟𝐚!?
𝗧𝘂𝗽𝗶𝗴𝗶𝗲/ 𝗧𝘂𝗺𝗮 𝗦𝗠𝗦/ 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽
📲𝟬𝟲𝟮𝟴𝟳𝟮𝟮𝟯𝟴𝟮
📲0696488512
Hard disk umnauzaje sema nipo mbeya
 
Ahsante kwa ufafanuzi natamni ungekuwepo hapa karibu unioneshe kwa vitendo
1.Una account ya facebook
Kufanya sponsored ads kupitia facebook ni nzuri zaidi kwa sababu utafanya marketing kwenye facebook na instagram kwa pamoja.

2.Tengeneza ukurasa wa biashara wa facebook na ukurasa aa biashara wa instagram (ziunganishe pamoja ili ukipost kwenye instagram ziende pia kwenye facebook)
3. ingia business.facebook.com hapa ndio utaweza kutengeneza matangazo yako yote ya sponsored ambayo yataonekana facebook na instagram

NB: ndugu mfanyabiashara hili somo sio lakuandikiwa tu uzi hapa ukaenda kutekeleza, unahitajika ukae chini na mtu mwenye uzoefu wa kutengeneza hizi sponsored ads akuelekeze hatua kwa hatua...kisha tangazo live...

karibu nikupe darasa
napatikana dar es salaam
0677 818283

Utachangia hela ya maji kidogo
 

Attachments

  • Screenshot_20240106_151041_Instagram.jpg
    Screenshot_20240106_151041_Instagram.jpg
    292 KB · Views: 11
Bila kusahau kuna 18% VAT na Markup fee 15% kila unapofanya malipo!
 
Kwa sasa unaeza kutumia YouTube Ads pia ina matokeo makubwa saana sema huku YouTube na Google Ads kumevamiwa na watu wa mikopo na watu wakubet saana Ila fields zingine pia zinanafasi ya kupata Hii fanbase
 
Kuna vitu vingine ni fani za watu.

Kama unahitaji darasa kamili na upo tayari kujitoa katika kujifunza na kufanyia kazi mafunzo hayo tuwasiliane WhatsApp 0752026992.

Tutafanya kazi kwa ukaribu hadi ufikie malengo yako.
 
Back
Top Bottom