Msaada jinsi ya kutengeneza AL-KASUSI kwa ajili ya biashara

Msaada jinsi ya kutengeneza AL-KASUSI kwa ajili ya biashara

1.Weka maziwa jikoni ongezea na maji kwa ratio ya 1:1 pamoja na Alkasus. Alkasus utakadiria tu kwenye lita 1 weka vijiko vitatu hadi vinne

2.Acha mchanganyiko wako uchemke vizur

3.Chuja na weka kwenye chupa


Kila la kheri
Ahsante sana mkuu
 
Back
Top Bottom