Msaada jinsi ya kutengeneza AL-KASUSI kwa ajili ya biashara

1.Weka maziwa jikoni ongezea na maji kwa ratio ya 1:1 pamoja na Alkasus. Alkasus utakadiria tu kwenye lita 1 weka vijiko vitatu hadi vinne

2.Acha mchanganyiko wako uchemke vizur

3.Chuja na weka kwenye chupa


Kila la kheri
Ahsante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…