Natamani kulia nilivyorudi kwenye hii thread ya sekela.
Nimewamiss mpaka mate yananitoka.
Kama vya kuandaa home nikitaka nile kwa furaha basi niandaliwe.
Au nikiandaa mimi nisile muda huohuo...
Nina taabu [emoji24][emoji24]
Hahahaha Nifah itakua unaonja sana lol