Msaada jinsi ya kutengeneza Kuku sekela. Ni viungo gani wanatumia?

Natamani kulia nilivyorudi kwenye hii thread ya sekela.
Nimewamiss mpaka mate yananitoka.

Kama vya kuandaa home nikitaka nile kwa furaha basi niandaliwe.
Au nikiandaa mimi nisile muda huohuo...
Nina taabu [emoji24][emoji24]

Hahahaha Nifah itakua unaonja sana lol
 

Habibty kwa mahesabu weye hatari Kama mie lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…