Msaada: Jinsi ya kutengeneza scramble eggs

Msaada: Jinsi ya kutengeneza scramble eggs

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Waungwana,

Kuna mtu yeyote hapa jamvini ambaye anafahamu kukorofisha scramble eggs? Kama yuko naomba darasa. Kuna umuhimu wa kuwa na forum ya mapishi ili akina Mama, Bi Mkubwa, Bi Ntilie, Naima, WOS, Shishi, Lorain, Kelly01, Kinyau na wengineo wengi na hata njemba zinazojua kukaangiza wakatumwagia utaalamu wao katika idara nyeti ya jikoni. Naona Babu Swahili ananiangalia kwa jicho la hasira kwa kutumia neno 'kukorofisha' badala ya kupika..😉

Natanguliza shukrani
 
Last edited by a moderator:
Mayai changanya na maziwa kwa ratio ya 2 table spoon of mælk per egg,then mix with salt and pepper,then kwenye kikaango yenye mafuta ya uto.Then anza ku-skrambo.
There you are mkuu.
 
Mayai changanya na maziwa kwa ratio ya 2 table spoon of mælk per egg,then mix with salt and pepper,then kwenye kikaango yenye mafuta ya uto.Then anza ku-skrambo.
There you are mkuu.


Umemdanganya mwenzio, kama anampikia mamsap ataachika leoleo. Usifuate hiyo recipe mwaya.
 
Umemdanganya mwenzio, kama anampikia mamsap ataachika leoleo. Usifuate hiyo recipe mwaya.

Ingekuwa afadhali kama ungesema nimekosea wapi ili mkuu aelewe,sasa unakosoa alafu hamna solution.Unakuwa ka mtu wa jungu bwana.
 
Umemdanganya mwenzio, kama anampikia mamsap ataachika leoleo. Usifuate hiyo recipe mwaya.

LOL!...Chupaku 😉 Haya mayai niliwahi kuyaagiza hoteli moja na yalipokuja nikayakataa kwamba sikuagiza scramble eggs kutokana na sura yake...LOL! Basi nikayakuta sehemu nyingine ambayo breakfast unakula tani yako chochote kile na yenyewe yalikuwapo. Nikasema ngoja nionje, kumbe mdomoni si mabaya 🙂 lakini bahati mbaya sijui jinsi ya kuyakorofisha najua Omelette na mayai ya kuchemsha... LOL! hivyo nikaona si vibaya kama nitaomba msaada hapa jamvini.
 
Waungwana,

Kuna mtu yeyote hapa jamvini ambaye anafahamu kukorofisha scramble eggs? Kama yuko naomba darasa. Kuna umuhimu wa kuwa na forum ya mapishi ili akina Mama, Bi Mkubwa, Bi Ntilie, Naima, WOS, Shishi, Lorain, Kelly01, Kinyau na wengineo wengi na hata njemba zinazojua kukaangiza wakatumwagia utaalamu wao katika idara nyeti ya jikoni. Naona Babu Swahili ananiangalia kwa jicho la hasira kwa kutumia neno 'kukorofisha' badala ya kupika..😉

Natanguliza shukrani

Mambo BAK,

Yani kama ulikuwepo ndani ya kichwa changu. Kwa kweli mkifungua hiyo forum itakuwa poa sana. Sasa kuna hii site unaweza kupata pia mambo ya scramble eggs Alternative Remedies - How To Information | eHow.com.
 
Mambo BAK,

Yani kama ulikuwepo ndani ya kichwa changu. Kwa kweli mkifungua hiyo forum itakuwa poa sana. Sasa kuna hii site unaweza kupata pia mambo ya scramble eggs Alternative Remedies - How To Information | eHow.com.

Ahsante sana Lorain, mambo poa tu. Nimeomba kuwepo hiyo forum ya mapishi siku nyingi tu. Sielewi tatizo ni nini mpaka leo haijawekwa hapa ukumbini.

J'pili njema
 
Ahsante sana Lorain, mambo poa tu. Nimeomba kuwepo hiyo forum ya mapishi siku nyingi tu. Sielewi tatizo ni nini mpaka leo haijawekwa hapa ukumbini.

J'pili njema

Bubu, kwani lazima iwepo forum? si tunaweza kupeana tu hizo recipes za mapishi mbalimbali kwa kufungua thread ya mapishi ambayo itakaa hapa muda wote? Hata hii tunaweza igeuza title tu tukaendelea..... kama mtu anataka kufunzwa kupika kisamvu cha kopo au kumla samaki wa kuparwa-kwa mfano,anaingia tu na kutuomba wadau tumpe mambo!- simple!
 
Bubu, kwani lazima iwepo forum? si tunaweza kupeana tu hizo recipes za mapishi mbalimbali kwa kufungua thread ya mapishi ambayo itakaa hapa muda wote? Hata hii tunaweza igeuza title tu tukaendelea..... kama mtu anataka kufunzwa kupika kisamvu cha kopo au kumla samaki wa kuparwa-kwa mfano,anaingia tu na kutuomba wadau tumpe mambo!- simple!

Siyo lazima, lakini itakuwa vizuri zaidi ikiwa kunakuwa na forum hiyo maana chochote kile cha kuhusiana na mapishi unajua utakipata wapi badala ya kuhangaika all over the place. Ukihitaji mambo ya soka unajua wapi pa kwenda, hivyo hakuna ubaya wowote wa kuwa na sehemu maalum ya mapishi.
 
Bubu, kwani lazima iwepo forum? si tunaweza kupeana tu hizo recipes za mapishi mbalimbali kwa kufungua thread ya mapishi ambayo itakaa hapa muda wote? Hata hii tunaweza igeuza title tu tukaendelea..... kama mtu anataka kufunzwa kupika kisamvu cha kopo au kumla samaki wa kuparwa-kwa mfano,anaingia tu na kutuomba wadau tumpe mambo!- simple!
Naona mkuu unataka kuanzisha vurugu hapa. Hizi habari za visamvu vya kopo na ulaji wa samaki wa kuparwa si mahala pake hapa; hususani katika hii mada.
 
...😱😀 khaaaa!, ama waTz wana-kiswahili 'mreeeeeeeeeeefu!'
 
Waungwana,

Kuna mtu yeyote hapa jamvini ambaye anafahamu kukorofisha scramble eggs? Kama yuko naomba darasa. Kuna umuhimu wa kuwa na forum ya mapishi ili akina Mama, Bi Mkubwa, Bi Ntilie, Naima, WOS, Shishi, Lorain, Kelly01, Kinyau na wengineo wengi na hata njemba zinazojua kukaangiza wakatumwagia utaalamu wao katika idara nyeti ya jikoni. Naona Babu Swahili ananiangalia kwa jicho la hasira kwa kutumia neno 'kukorofisha' badala ya kupika..😉

Natanguliza shukrani


Yaani Bubu umeniudhi yaani kweli yaani kweli hujui kutengeneza scrambled egg?...jeez thats the easiest thing ever...ok i know watu wameshakufundisha so there is no need of me kukuelezea tena....
 
Yaani Bubu umeniudhi yaani kweli yaani kweli hujui kutengeneza scrambled egg?...jeez thats the easiest thing ever...ok i know watu wameshakufundisha so there is no need of me kukuelezea tena....

mbona mimi hujawahi kunikorofishia hizo scrambled eggs?
 
hhahahaha cupcake...na navyotengeneza kila siku asubuhi na unasema unapenda ni nini?..unadhani mac and cheese nini?...

oh yeah...that can't be mac n cheese....okay....sasa nshajua ni nini maana kila siku nikikuuliza na wewe unaniuliza 'kwani hujui'...lol

haya cupcake...baadae kidogo basi....oh btw, leo lunch unataka kwenda wapi, PF Chang's, Mickey D's au Burger King...?
 
oh yeah...that can't be mac n cheese....okay....sasa nshajua ni nini maana kila siku nikikuuliza na wewe unaniuliza 'kwani hujui'...lol

haya cupcake...baadae kidogo basi....oh btw, leo lunch unataka kwenda wapi, PF Chang's, Mickey D's au Burger King...?


I thought tulikubaliana leo lunch Twist au?...umebadilisha kibao unanipeleka kwenye junk foods while you know i need to loose those 2 pounds i have gained over the weekend?...
 
I thought tulikubaliana leo lunch Twist au?...umebadilisha kibao unanipeleka kwenye junk foods while you know i need to loose those 2 pounds i have gained over the weekend?...

Cupcake..yaani umeshasahau tuko kwenye recession? Twist tutaenda Ijumaa....payday....
 
Cupcake..yaani umeshasahau tuko kwenye recession? Twist tutaenda Ijumaa....payday....


Friday?...i thought friday we flying to Aspen colorado for ice skating?!...au hujafanya ile reservation?....olooo cupcake don't make me loose my mind now.
 
Back
Top Bottom