Msaada:Jinsi ya kutengeneza waxing

Principle girl

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
1,311
Reaction score
1,297
Hello wapendwa kama kama kichwa kinavojieeleza mara nyingi mekuwa nikijaribu kutengeneza waxing lakin nafeli yan inakuwa ngumu kama gundi,msaada wapendwa napenda fanya hii kitu lakini nafeli!
 
kwanini usiende kwenye Saloon wanapotoa hizi huduma, yale maumivu utaweza jifanyia mwenyewe?
 
Toa maelekezo my dear Kama una jua

Sukari vijiko 8
Asali vijiko 4
limao vijiko 4

unabandika sukari jikoniunaweka na maji unakoroga mpaka inayeyuka, unaweka asali unakoroga inachemka mpk inakua uji uji unaongeza limao unaiacha ichemke kwa dkk kumi halafu unaipua.

ikipoa kidogo unaanza kuitumia.

nimeandika kwa kifupi ni mvivu kidogo kuandika
 
Asante dear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…