Msaada jinsi ya kutoa pesa Neteller and Skrill to Tanzania mobile networks

Msaada jinsi ya kutoa pesa Neteller and Skrill to Tanzania mobile networks

renamaizo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
2,134
Reaction score
3,064
Habarin wana jamii forum nina pesa zangu zipo huko neteller ni dollar kadhaa na nina shida nazo nataka nizitoe fasta shida ni kwamba kwa tanzania ni only to bank hakuna mobile network.

Na ubaya ni kwamba njia ya benk pesa inachukua mda mrefu kufika na pia makato ni makubwa kulinganisha na simu inakatwa 2% only na ni instant yaan unapokea pesa yako hapo hapo.

Sasa naomben wadau km kuna mtu anafahamu jinsi ya kutoa hzo pesa ata kwa kutumia third party cpmpany anipe maana nataka nizotoe fasta hzo dollar.
 
Huwezi kuzitoa fasta kwa Neteller hata kidogo
 
Nafikiri hakuna njia zaidi ya bank, tena sio bank zote ni baadhi ya bank zinazodil na forex kwa urahisi, na lazma itakuchua siku 2 hadi 3 za kazi
 
Niliwahi tumia localbitcoin lkn hapo uwe mtaalum kidogo maana Unanunua Bitcoin na kuziuza na unapokea pesa yako kwa simu tu.. Nafaka hebu msaidie huyu ndugu maana mi nishaacha kidogo hizi ndude..😅
 
Nitafute WhatsApp nikusaidie nimekutumia namba pm

Ukishindwa kunicheki WhatsApp kwa Tanzania tuna agents wa Skrill to mpesa wa neteller ni mtihani kuwapata so unachotakiwa kufanya ni kudeposit Skrill then uta transfer kwa agents Dola moja wananunua kwa 2300
 
Habarin wana jamii forum nina pesa zangu zipo huko neteller ni dollar kadhaa na nina shida nazo nataka nizitoe fasta shida ni kwamba kwa tanzania ni only to bank hakuna mobile network.

Na ubaya ni kwamba njia ya benk pesa inachukua mda mrefu kufika na pia makato ni makubwa kulinganisha na simu inakatwa 2% only na ni instant yaan unapokea pesa yako hapo hapo.

Sasa naomben wadau km kuna mtu anafahamu jinsi ya kutoa hzo pesa ata kwa kutumia third party cpmpany anipe maana nataka nizotoe fasta hzo dollar.
tumia localbitcoin.com jiunge nunua bitcoin uza kwa mtu anayepokea malipo kwa neteller halafu uza hizo bitcoin kwa mtu anayelipa kwa mpesa, tigo au airtel. Kumbuka kwamba kwa hizi njia za third party makato ni makubwa yani usitegemee utapata makato madogo maana ni njia za ujanja ujanja tu. Bitcoin utazinunua ghali halafu utaziuza kwa bei ya chini
 
tumia localbitcoin.com jiunge nunua bitcoin uza kwa mtu anayepokea malipo kwa neteller halafu uza hizo bitcoin kwa mtu anayelipa kwa mpesa, tigo au airtel. Kumbuka kwamba kwa hizi njia za third party makato ni makubwa yani usitegemee utapata makato madogo maana ni njia za ujanja ujanja tu. Bitcoin utazinunua ghali halafu utaziuza kwa bei ya chini
Kumbuka hata hii ya kununua bitcoin ni third party ila jambo la msing hapa nipe izo njia au watu au kampuni zinazoweza kuniuzia bitcoin kupitia neteller and at the same time nipe pia za kuzitoa izo bitcoin au kuziuza kwa tigppesa au M PESA bitvoin nina ifahamu kidogo maana kuna maeneo pananipiga chenga sn
 
Kumbuka hata hii ya kununua bitcoin ni third party ila jambo la msing hapa nipe izo njia au watu au kampuni zinazoweza kuniuzia bitcoin kupitia neteller and at the same time nipe pia za kuzitoa izo bitcoin au kuziuza kwa tigppesa au M PESA bitvoin nina ifahamu kidogo maana kuna maeneo pananipiga chenga sn
Mbona nimekupa nimekwambia tumia localbitcoin.com na nikakusisitiza ni third party hivyo usitegemee kupata makato ya 2%. Utanunua na kuuza huko huko
 
Back
Top Bottom