Habari wana jamii! Jaman kwa wale wenye kujua jinsi ya kutoa tatto nahitaj msaada,nina mdogo wangu wa kike 17,leo naamka asubuh naona anatembea kainama hlf kajifunika begani namchukuza kachora tatto began jana anasema hlf mpk inatoa majimaji na imevimba sana!Naomben msaada wenu nina hasira sana nataman kumpiga ila hyo hali inanitia wasiwasi sana na nin madhara yake! Na pia wazazi wakiona watasema nimeshindwa kumlea mdogo wangu yaan hta kazin sijaenda leo.msaada tafadhali
Habari wana jamii! Jaman kwa wale wenye kujua jinsi ya kutoa tatto nahitaj msaada,nina mdogo wangu wa kike 17,leo naamka asubuh naona anatembea kainama hlf kajifunika begani namchukuza kachora tatto began jana anasema hlf mpk inatoa majimaji na imevimba sana!Naomben msaada wenu nina hasira sana nataman kumpiga ila hyo hali inanitia wasiwasi sana na nin madhara yake! Na pia wazazi wakiona watasema nimeshindwa kumlea mdogo wangu yaan hta kazin sijaenda leo.msaada tafadhali
Rahisi sana chukua pasi ya umeme washa subir ipate moto wa kutosha then fanya kama unanyoosha hapo kwenye tatoo, mara moja mara mbili kwisha habari yake.
Laser ndo nin mkuu mi hata nieleweshe
Laser ni chombo... labda niseme kama kalamu kubwa ambayo inatoa ''miali'' (high intensity light beam) inayopenya ngozi na kufuta alama za tattoo kwenye ngozi. Huduma hii hupatikana hospital na hasa kwa ma-dermatologists (specialists wa ngozi) na cosmetic surgery clinics. Nadhani hata Tanzania hii huduma ipo na cost yake sio kubwa sana!
Asante mkuu ila ni hospital gan unayofahamu ina huduma hii?pia kuna mtu kanaimbia wine or galric inasaidia