cuchi
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 218
- 74
Habari wana jamii!
Jaman kwa wale wenye kujua jinsi ya kutoa tatto nahitaj msaada,nina mdogo wangu wa kike 17, leo naamka asubuh naona anatembea kainama hlf kajifunika begani namchukuza kachora tatto began jana anasema hlf mpk inatoa majimaji na imevimba sana!
Naomben msaada wenu nina hasira sana nataman kumpiga ila hyo hali inanitia wasiwasi sana na nin madhara yake! Na pia wazazi wakiona watasema nimeshindwa kumlea mdogo wangu yaan hta kazini sijaenda leo.
Msaada tafadhali.
Jaman kwa wale wenye kujua jinsi ya kutoa tatto nahitaj msaada,nina mdogo wangu wa kike 17, leo naamka asubuh naona anatembea kainama hlf kajifunika begani namchukuza kachora tatto began jana anasema hlf mpk inatoa majimaji na imevimba sana!
Naomben msaada wenu nina hasira sana nataman kumpiga ila hyo hali inanitia wasiwasi sana na nin madhara yake! Na pia wazazi wakiona watasema nimeshindwa kumlea mdogo wangu yaan hta kazini sijaenda leo.
Msaada tafadhali.