Msaada jinsi ya kutumia Mtandao wa Twitter

Msaada jinsi ya kutumia Mtandao wa Twitter

Kwanini mnapenda kunihusisha na hiyo ID?
Kuna siku mimi Wazo la wewe kuwa Da' vinci lilinijia coz.

1.Ukiandaa uzi unakuwa na nondoz za kutosha na kila picha ina maelezo mazuri staili kama Da vinci kwenye uzi wako wa Tupac na mwengine like Entertainment.

2.Unamaliza kwa jina lako mwishoni kama Yeye alivyokuwa akifanya na mipaka rangi jina.

3.Kwenye uzi mmoja uliniQuote kuwa mambo ya mabishano ya kidini umeacha humu na kutaka sababu na ukakiri kuwa zamani ulikuwa unapenda sana mambo hayo ,sasa mimi nikicheki hii ID sijawahi kukuta kwenye mijadala ya kidini tukirudi kwa Da'vinci yeye kuna kipindi humu alikuwa mfia dini humkosi kwenye hiyo mijadala hadi dhihaka za kidini alikuwa anafanya kabla ya kuacha jumla kwa jumla mambo hayo .

4.Wote ni wapenzi sana wa movies

Kwa hisani ya To yeye
 
Kuna siku mimi Wazo la wewe kuwa Da' vinci lilinijia coz.

1.Ukiandaa uzi unakuwa na nondoz za kutosha na kila picha ina maelezo mazuri staili kama Da vinci kwenye uzi wako wa Tupac na mwengine like Entertainment.

2.Unamaliza kwa jina lako mwishoni kama Yeye alivyokuwa akifanya na mipaka rangi jina.

3.Kwenye uzi mmoja uliniQuote kuwa mambo ya mabishano ya kidini umeacha humu na kutaka sababu na ukakiri kuwa zamani ulikuwa unapenda sana mambo hayo ,sasa mimi nikicheki hii ID sijawahi kukuta kwenye mijadala ya kidini tukirudi kwa Da'vinci yeye kuna kipindi humu alikuwa mfia dini humkosi kwenye hiyo mijadala hadi dhihaka za kidini alikuwa anafanya kabla ya kuacha jumla kwa jumla mambo hayo .

4.Wote ni wapenzi sana wa movies

Kwa hisani ya To yeye
It's him,alibadili jina
 
Kuna siku mimi Wazo la wewe kuwa Da' vinci lilinijia coz.

1.Ukiandaa uzi unakuwa na nondoz za kutosha na kila picha ina maelezo mazuri staili kama Da vinci kwenye uzi wako wa Tupac na mwengine like Entertainment.
Napenda nikifanya kitu nikifanye with perfection sipendi niwaache hewani wasomaji wa Article. Does that make me a Da'Vinci?
2.Unamaliza kwa jina lako mwishoni kama Yeye alivyokuwa akifanya na mipaka rangi jina.
Daah
3.Kwenye uzi mmoja uliniQuote kuwa mambo ya mabishano ya kidini umeacha humu na kutaka sababu na ukakiri kuwa zamani ulikuwa unapenda sana mambo hayo ,sasa mimi nikicheki hii ID sijawahi kukuta kwenye mijadala ya kidini tukirudi kwa Da'vinci yeye kuna kipindi humu alikuwa mfia dini humkosi kwenye hiyo mijadala hadi dhihaka za kidini alikuwa anafanya kabla ya kuacha jumla kwa jumla mambo hayo .

4.Wote ni wapenzi sana wa movies

Kwa hisani ya To yeye
Mabishano ya dini is for amateur ambao bado hawajakomaa kiimani. Na nina marafiki wasio dini yangu ambao wamenisaidia kuliko hata wa dini yangu! So hata nawe after sometime utaipotezeaga tu hiyo mijadala. Thanks for your concern though
 
Back
Top Bottom