Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

faokipe

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2015
Posts
1,017
Reaction score
1,176
Kuna mwanamke nimeishi nae kwa muda wa miezi 6, mambo yakaharibika baada ya kumkuta na mwanaume chumbani kwake, kukatokea ugomvi wa hapa na pale.

Sasa huyu mwanamke ananishitaki mahakamani kwa kosa la shambulio la kudhuru mwili. Ametakiwa kupeleka mashahidi na ameandaa mashahidi wa kununua ili kunikomoa. Mmoja wa mashahidi ni kuwadi aliyemtafutia bwana.

Naomba wataalamu wa kesi mnipe nondo za maana za kuwauliza hao mashahidi.

Karibuni..
 
Uuulize je wewe ulikua ni nani yake? Ulivyoingia humo chumbani kwake uliwakuta wanafanyaje? (Ukumbuke kisheria uko mahala pazuri kwa kujitetea coz huyo ni mpenzi wako na vile ulivyowakuta ilikua sawa kabisa we kufanya uliyofanya lakin ktk muda huo huo, hii tunaita 'kupandwa na jazba au hasira za ghafla tokana na tukio hasi dhidi yako'.

Maswali hayo mawili kwa huyo mwanamke wako yatakuweka mahala pazuri sana, japo ndani ya maswali haya unaweza pata vingine vya kujiuliza humo humo akiwa anakujibu.

Waulize hao mashaidi, "Je siku ya tukio walikuwepo eneo la tukio? Je, wanaweza isaidia mahakama namna ulivyokua unaonekana kimavazi, n.k.?
Waulize je huo ushaidi wao waliuona au waliskia?.

Endapo ikitokea mmoja wapo akasema aliona, muulize, je anaweza elezea tukio kwa kifupi? Aliwezaje kukuona wewe wakati mlikua ndani? Kama ulimdhuru huyo mwanamke wako ulimdhuru na kitu gani? Wapi? Kama walikuepo eneo la tukio na waliona je walifanya juhudi gan kuzuia shambulizi? Wana uhusiano gani na huyo mfungua kesi?

Waambie kuwa nyie mmeupika huo ushahidi wenu kwa kuwa mnafahamiana na huyo bwana wa mfungua kesi.

Kumbuka usiwe muoga, jiamini, hauwezi kufungwa, na ukiweza unawezaandika haya na yakakuongoza mahakamani vizuri tu kwani inaruhusiwa kuingia na vikaratasi mahakamani vyenye maswali ambayo wewe mwenyewe uliyaandika....

Usiogope.
 
666 chata

Nashukuru sana mtaalam (chata) umenipa vitu nilikuwa sina kichwani !kesho ndo nasimama na shahidi na taarifa nilizopata kutoka kwa mtu wangu wa karibu amepata shahidi mmoja tu ambae ni shoga yake(kuwadi?) wengine wamekataa kwenda kutoa ushahidi
 
Last edited by a moderator:
Shukrani mtaalam(666 chata) umenipa madini kichwani! taarifa nilizonazo ni kuwa amepata shahidi mmoja tu ambae ni shoga yake(kuwadi?) wengine aliowategemea wamekataa kwenda kutoa ushahidi. kesho ndio siku ya kurudi kwa ushahidi.
 
wadau leo ndo nilikuwa mahakamani na shahidi.amejichanganya akataja tarehe tofauti na aliyotaja mlalamikaji kwamba ndio shambulio lilifanyika!nikamuuliza ikithibitika kwamba tarehe aliyotaja ni ya uongo sikufanya shambulizi lolote .akasema ahesabiwe kuwa ameidanganya mahakama .!hii kisheria imekaaje wadau
 
Safi mkuu, amini kesi ilishaisha hii, utashinda mapema sana, na kuhusu huyo shaidi, mahakama itatupilia mbali ushaidi wake tu. cha kufanya sasa wewe jiadhari sana na kuwasiliana na uyo mwanamke kwani unaweza jikuta unamtumia jumbe ambazo zinaweza kuja kukucost hapo baadae mkuu.
 
Safi mkuu, amini kesi ilishaisha hii, utashinda mapema sana, na kuhusu huyo shaidi, mahakama itatupilia mbali ushaidi wake tu. cha kufanya sasa wewe jiadhari sana na kuwasiliana na uyo mwanamke kwani unaweza jikuta unamtumia jumbe ambazo zinaweza kuja kukucost hapo baadae mkuu.

mkuu chata nazingatia ushauri wako wala sina mawasiliano yoyote na huyo mwanamke.j3 ndio naenda kutoa utetezi wangu ila sina mashahidi kwa upande wangu sasa hapo sijui itakuaje nkiulizwa kama ninao mashahidi! isitoshe pf3 imejazwa na daktari kuwa ni kweli alishambuliwa
 
kua tu mkweli, kama hauna shahidi usijaribu kuleta shahidi wa bandia, maana yeye ndio anaweza akakuaribia kesi hasa kwa upande wako, ulikua peke ako ivyo simama peke ako, hio pf3 isikuogopeshe mkuu, siku zote mahakamani ukweli unaonekanaga tu.


Toa ushaidi wako, huku ukianza kwanza kuelezea juu ya mahusiano yenu na muda mliokaa pamoja ili ionekane mlikua na mahusiano makubwa sana.
elezea tukio zima lilivyokua, ktk maelezo yako onesha kabisa hukumshambulia mtu kwa kutumia mwili wako au silaha zozote(na hasa ukizingatia wao walisharikologa kwenye ushahidi wao)
elezea tu kulitokea ubishani wa maneno tu hivyo ukaamua uondoke zako, ni kama ungetokea ugomvi wa aina yoyote mkubwa basi wewe ndio ungekua wa kwanza kuzulika kwakua wao walikua wawili yeye na bwana ake(if nilikunote vibaya, ulisema" baada ya
kumkuta na mwanaume chumbani kwake,
kukatokea ugomvi wa hapa na pale.")
au kama alikuepo peke ake sikuio ya ugomvi, basi kana kabisa kumpiga uyo mwanamke hasa ukizingatia alitoa ushahidi dhaifu sana.
 
Uuulize je wewe ulikua ni nani yake? Ulivyoingia humo chumbani kwake uliwakuta wanafanyaje? (Ukumbuke kisheria uko mahala pazuri kwa kujitetea coz huyo ni mpenzi wako na vile ulivyowakuta ilikua sawa kabisa we kufanya uliyofanya lakin ktk muda huo huo, hii tunaita 'kupandwa na jazba au hasira za ghafla tokana na tukio hasi dhidi yako'.

Maswali hayo mawili kwa huyo mwanamke wako yatakuweka mahala pazuri sana, japo ndani ya maswali haya unaweza pata vingine vya kujiuliza humo humo akiwa anakujibu.

Waulize hao mashaidi, "Je siku ya tukio walikuwepo eneo la tukio? Je, wanaweza isaidia mahakama namna ulivyokua unaonekana kimavazi, n.k.?
Waulize je huo ushaidi wao waliuona au waliskia?.

Endapo ikitokea mmoja wapo akasema aliona, muulize, je anaweza elezea tukio kwa kifupi? Aliwezaje kukuona wewe wakati mlikua ndani? Kama ulimdhuru huyo mwanamke wako ulimdhuru na kitu gani? Wapi? Kama walikuepo eneo la tukio na waliona je walifanya juhudi gan kuzuia shambulizi? Wana uhusiano gani na huyo mfungua kesi?

Waambie kuwa nyie mmeupika huo ushahidi wenu kwa kuwa mnafahamiana na huyo bwana wa mfungua kesi.

Kumbuka usiwe muoga, jiamini, hauwezi kufungwa, na ukiweza unawezaandika haya na yakakuongoza mahakamani vizuri tu kwani inaruhusiwa kuingia na vikaratasi mahakamani vyenye maswali ambayo wewe mwenyewe uliyaandika....

Usiogope.
Good
 
Uuulize je wewe ulikua ni nani yake? Ulivyoingia humo chumbani kwake uliwakuta wanafanyaje? (Ukumbuke kisheria uko mahala pazuri kwa kujitetea coz huyo ni mpenzi wako na vile ulivyowakuta ilikua sawa kabisa we kufanya uliyofanya lakin ktk muda huo huo, hii tunaita 'kupandwa na jazba au hasira za ghafla tokana na tukio hasi dhidi yako'.

Maswali hayo mawili kwa huyo mwanamke wako yatakuweka mahala pazuri sana, japo ndani ya maswali haya unaweza pata vingine vya kujiuliza humo humo akiwa anakujibu.

Waulize hao mashaidi, "Je siku ya tukio walikuwepo eneo la tukio? Je, wanaweza isaidia mahakama namna ulivyokua unaonekana kimavazi, n.k.?
Waulize je huo ushaidi wao waliuona au waliskia?.

Endapo ikitokea mmoja wapo akasema aliona, muulize, je anaweza elezea tukio kwa kifupi? Aliwezaje kukuona wewe wakati mlikua ndani? Kama ulimdhuru huyo mwanamke wako ulimdhuru na kitu gani? Wapi? Kama walikuepo eneo la tukio na waliona je walifanya juhudi gan kuzuia shambulizi? Wana uhusiano gani na huyo mfungua kesi?

Waambie kuwa nyie mmeupika huo ushahidi wenu kwa kuwa mnafahamiana na huyo bwana wa mfungua kesi.

Kumbuka usiwe muoga, jiamini, hauwezi kufungwa, na ukiweza unawezaandika haya na yakakuongoza mahakamani vizuri tu kwani inaruhusiwa kuingia na vikaratasi mahakamani vyenye maswali ambayo wewe mwenyewe uliyaandika....

Usiogope.
..
 
Nataraji vituko hapa. Natanguliza kucheka kabla sijasoma komenti yoyote
 
Uuulize je wewe ulikua ni nani yake? Ulivyoingia humo chumbani kwake uliwakuta wanafanyaje? (Ukumbuke kisheria uko mahala pazuri kwa kujitetea coz huyo ni mpenzi wako na vile ulivyowakuta ilikua sawa kabisa we kufanya uliyofanya lakin ktk muda huo huo, hii tunaita 'kupandwa na jazba au hasira za ghafla tokana na tukio hasi dhidi yako'.

Maswali hayo mawili kwa huyo mwanamke wako yatakuweka mahala pazuri sana, japo ndani ya maswali haya unaweza pata vingine vya kujiuliza humo humo akiwa anakujibu.

Waulize hao mashaidi, "Je siku ya tukio walikuwepo eneo la tukio? Je, wanaweza isaidia mahakama namna ulivyokua unaonekana kimavazi, n.k.?
Waulize je huo ushaidi wao waliuona au waliskia?.

Endapo ikitokea mmoja wapo akasema aliona, muulize, je anaweza elezea tukio kwa kifupi? Aliwezaje kukuona wewe wakati mlikua ndani? Kama ulimdhuru huyo mwanamke wako ulimdhuru na kitu gani? Wapi? Kama walikuepo eneo la tukio na waliona je walifanya juhudi gan kuzuia shambulizi? Wana uhusiano gani na huyo mfungua kesi?

Waambie kuwa nyie mmeupika huo ushahidi wenu kwa kuwa mnafahamiana na huyo bwana wa mfungua kesi.

Kumbuka usiwe muoga, jiamini, hauwezi kufungwa, na ukiweza unawezaandika haya na yakakuongoza mahakamani vizuri tu kwani inaruhusiwa kuingia na vikaratasi mahakamani vyenye maswali ambayo wewe mwenyewe uliyaandika....

Usiogope.
Nakuona mwanasheria Kanjanja unazidi kulaghai majuha wa mitandaoni.

Cross examining is a skill, sio ujinga huu umeandika hapa!

This is not a cross, it is rubbish!

Wakili yoyote hawezi kuuliza huu ujinga atajiharibia kesi yake.
 
Nakuona mwanasheria Kanjanja unazidi kulaghai majuha wa mitandaoni.

Cross examining is a skill, sio ujinga huu umeandika hapa!

This is not a cross, it is rubbish!

Wakili yoyote hawezi kuuliza huu ujinga atajiharibia kesi yake.
Hebu weka nondo zako hapa tuyaone hayo maujuzi yako

Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom