faokipe
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 1,017
- 1,176
Kuna mwanamke nimeishi nae kwa muda wa miezi 6, mambo yakaharibika baada ya kumkuta na mwanaume chumbani kwake, kukatokea ugomvi wa hapa na pale.
Sasa huyu mwanamke ananishitaki mahakamani kwa kosa la shambulio la kudhuru mwili. Ametakiwa kupeleka mashahidi na ameandaa mashahidi wa kununua ili kunikomoa. Mmoja wa mashahidi ni kuwadi aliyemtafutia bwana.
Naomba wataalamu wa kesi mnipe nondo za maana za kuwauliza hao mashahidi.
Karibuni..
Sasa huyu mwanamke ananishitaki mahakamani kwa kosa la shambulio la kudhuru mwili. Ametakiwa kupeleka mashahidi na ameandaa mashahidi wa kununua ili kunikomoa. Mmoja wa mashahidi ni kuwadi aliyemtafutia bwana.
Naomba wataalamu wa kesi mnipe nondo za maana za kuwauliza hao mashahidi.
Karibuni..