Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

Mashahidi kawatolea wapi? Walikuwepo au ni majirani! Kama ni majirani waulize walisikia shambulio wakiwa nje au ndani.
 
Nakuona mwanasheria Kanjanja unazidi kulaghai majuha wa mitandaoni.

Cross examining is a skill, sio ujinga huu umeandika hapa!

This is not a cross, it is rubbish!

Wakili yoyote hawezi kuuliza huu ujinga atajiharibia kesi yake.
Bora yeye na ukanjanja wake Kuliko wewe na usomi wako,

Sasa umeandika Nini hapa??

Kwamaneno Yako na muuliza swali yanaendana? Kama ungelikuwa unajua si ungetoa Nondo zako tuzione?
 
Nakuona mwanasheria Kanjanja unazidi kulaghai majuha wa mitandaoni.

Cross examining is a skill, sio ujinga huu umeandika hapa!

This is not a cross, it is rubbish!

Wakili yoyote hawezi kuuliza huu ujinga atajiharibia kesi yake.
Much know !!!! Empty
 
Sijiombei kupanda kuzimbani kwa namna yoyote ile iwe kushitaki au kushitakiwa (Mungu aniepushe).
Ila siku ikitokea kwa kudra za Mungu mkuu 666 chata lazima nikutafute unipe mwongozo.
Mungu akubariki sana aisee nimesoma comments zako upo vizuri sana.
 
Sijiombei kupanda kuzimbani kwa namna yoyote ile iwe kushitaki au kushitakiwa (Mungu aniepushe).
Ila siku ikitokea kwa kudra za Mungu mkuu 666 chata lazima nikutafute unipe mwongozo.
Mungu akubariki sana aisee nimesoma comments zako upo vizuri sana.
Jamaa anajua sana sheria aisee
 
Mkuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani( kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki. Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, akati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha . Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo. Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…