James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,761
Habari zenu wakuu,
Leo kwa mara ya kwanza niliamua kutumia hii huduma ya Premium katika kupost tangazo langu. huwa napost vitu vingi na kuviuza kupatana but huwa natumia ile ya kawaida. sasa baada ya leo kupost kwa kutumia hiyo premium, ilikubali na kwenye profile yangu nikiangalia vitu nilivyovipost inaonekana but imeandika kwamba ''This listing hasn't been validated.
Please validate it in order to make it public". na ukweli ukiangalia tangu nimepost masaa 6 yamekatika but hakuna viewer hata mmoja aliyepita kwa maana bado halijawa posted publicly. naombeni msaada kama kuna mtu anatambua namna ambayo naweza kusolve ishu kama hiyo. Asanteni.
Natanguliza shukrani.
Leo kwa mara ya kwanza niliamua kutumia hii huduma ya Premium katika kupost tangazo langu. huwa napost vitu vingi na kuviuza kupatana but huwa natumia ile ya kawaida. sasa baada ya leo kupost kwa kutumia hiyo premium, ilikubali na kwenye profile yangu nikiangalia vitu nilivyovipost inaonekana but imeandika kwamba ''This listing hasn't been validated.
Please validate it in order to make it public". na ukweli ukiangalia tangu nimepost masaa 6 yamekatika but hakuna viewer hata mmoja aliyepita kwa maana bado halijawa posted publicly. naombeni msaada kama kuna mtu anatambua namna ambayo naweza kusolve ishu kama hiyo. Asanteni.
Natanguliza shukrani.