Msaada: Jinsi ya kuweka umeme kwa kutumia LUKU ya jirani

Msaada: Jinsi ya kuweka umeme kwa kutumia LUKU ya jirani

https

Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
93
Reaction score
112
Hbr wadau,

Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie

Ahsante
 
Hbr wadau,

Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie

Ahsante
Mkuu huyo jirani yako yeye hajui???
 
NAKUSHAURI NENDA TENESCO WATAKUPA MAJIBU SAHIHI
 
Hakikisha jirani yako hayuko nje ya mita 100.
Hatua ni zile zile za kuingiza kama ulivyokuwa unaingiza kwako.
Ikigoma nunua betry original kama NATIONAL weka alafu ingiza mwenyewe hapohapo kwako.
 
fanya hivi unaanza mfano wa luku yangu nimeenda kwa jirani kuweka u meme 0242142004280024214200280 unaweka OK alafu unaweka units zako ukimaliza kuingiza unaingiza mita number za jirani yako kama ulivyo ingiza za kwako ili kuiludisha mita Katia mfumo wake wa Zaman mfano 03232150076200323215007620 unaweka OK
 
tafadhali wasiliana na ofisi ya TANESCO iliopo karibu na wewe au piga namba 0768985100 kwa msaada zaidi
Toeni majibu, acheni referrals ....au hizo info ni siri kubwa za nchi?! Wekeni taarifa hizo mtandaoni, mna website badala ya kuitumia wateja tujihudumie mnaweka vitu visivyoeleweka.

Unadhani sijui ofisi za Tanesco zilipo? Au hilo li namba lenu la customer care mnahisi sijui namna ya kuipata?

Wekeni info hapa, kuna mtu mwingine kesho na keshokutwa atakumbwa na tatizo kama langu na atakuja hapa kupata jawabu na sio referrals zisizoisha
 
Kama mna share phase moja nenda kwa jirani yako na uweke umeme
 
Toeni majibu, acheni referrals ....au hizo info ni siri kubwa za nchi?! Wekeni taarifa hizo mtandaoni, mna website badala ya kuitumia wateja tujihudumie mnaweka vitu visivyoeleweka.

Unadhani sijui ofisi za Tanesco zilipo? Au hilo li namba lenu la customer care mnahisi sijui namna ya kuipata?

Wekeni info hapa, kuna mtu mwingine kesho na keshokutwa atakumbwa na tatizo kama langu na atakuja hapa kupata jawabu na sio referrals zisizoisha


hii ndio imesababisha baadhi ya wateja ambao sio waaminifu kuanza kuchukua rimoti (CIU) za wengine na kuuza kwa wateja ambao wamepoteza kwa sababu wanajua jinsi ya kuweka umeme kwa kutumia kifaa cha jirani, tunafanya hivyo malengo maalum, kama mteja ameshindwa kuweka umeme ni wajibu wa TANESCO kwenda kutoa huduma bureeeee!!!
 
Hbr wadau,

Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie

Ahsante
Ndugu mpendwa mteja haiwezekani kiweka umeme kwa kutumia LUKU ya jirani lakini unaweza kuweka kupitia kwa jirani kwa kwenda na CIU au remote ya nyumba yako
 
tafadhali wasiliana na ofisi ya TANESCO iliopo karibu na wewe au piga namba 0768985100 kwa msaada zaidi
Umeme wa elfu kumi haufiki wiki maana yake nini? Nyumba ina taa , tv na kupasi mara chache sana. Tatizo nini?
 
fanya hivi unaanza mfano wa luku yangu nimeenda kwa jirani kuweka u meme 0242142004280024214200280 unaweka OK alafu unaweka units zako ukimaliza kuingiza unaingiza mita number za jirani yako kama ulivyo ingiza za kwako ili kuiludisha mita Katia mfumo wake wa Zaman mfano 03232150076200323215007620 unaweka OK
Hii mpya. Mbona tunaingiza kawaida siku zote. Hiyo process yako ya nchi gani?
 
Umeme wa elfu kumi haufiki wiki maana yake nini? Nyumba ina taa , tv na kupasi mara chache sana. Tatizo nini?
Unapata unit ngapi kwa hiyo elfu 10?je wastani wa matumizi yako kwa siku ni unit ngap?
 
Nimegundua Kitu Sasa
Tanesco Thread Hii Inakwenda Page Nyingine Wakati Mlitakiwa Comment Yenu Ya Kwanza
Kutoa Majibu Mujarabu Na Mambo Yangekuwa Poa



Mnafanya Watu Wanakuwa Na Taharuki Wakati Jibu Mnatakiwa Kutoa Direct Hapa Hapa
 
Back
Top Bottom