Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sifa zipi ue nazo ili uipate AVN ?Ndio lazima
1-Uwe umemaliza chuo kinachotambulika na NACTE au TCUNi sifa zipi ue nazo ili uipate AVN ?
Unakwama wap hili tujue wap kwa kuanziaHello ,,, naomba mnisaidie Mimi ni mwanafunzi ninayetaka ku apply bachelor degree ila natokea diploma,,, kivipi naweza kuipata hiyo AVN,, Coz nimejaribu kufanya mchakato naona unagoma,, please kwa Alie na uzoefu naomba anisaidie
Yaani nikifika kwenye sehemu ya kuandika registration number ya NTA level 5 na 6 ndo inagoma inaniandikia error registration numberUnakwama wap hili tujue wap kwa kuanzia
Umesoma Diploma ipi?Hello ,,, naomba mnisaidie Mimi ni mwanafunzi ninayetaka ku apply bachelor degree ila natokea diploma,,, kivipi naweza kuipata hiyo AVN,, Coz nimejaribu kufanya mchakato naona unagoma,, please kwa Alie na uzoefu naomba anisaidie
Ok ngoja kesho niendeUmesoma Diploma ipi?
Kwa ushauri zaidi, Fika Ofisi ya Nacte kanda yoyote.
Utasaidiwa kwa haraka sana.
Hili swali nishakujibuHiii,samahani naomba kuuliza ukiwa unaomba AVN unaweka matokeo ya mwaka wa mwisho maan mm nimemaliza mwaka huu naomba kujua naweka ya mwaka huu au n ya miaka yote,,,,,,,,,,...pia naomba kuuliza hiyo AVN inatumika kwnye kuomba na mikopo au n vyuo tu naomba kusaidiwa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Jibu tena coz ulipojibu hapaonekaniHili swali nishakujibu