Jurrasic
Member
- Oct 19, 2018
- 67
- 67
Habarini wanajamvi
Mimi Niko morogoro ilah nilifika tanga mjini soko la mgandini nikakuta magari mengi malori ya Azam yamebeba vitunguu ,makabichi,nyanya na vitu vingine nkaambiwa kwamba vyote vinaenda pemba na Ni mtindo Kila j3 hivyo haraka haraka biashara inaonekana kuwa vizuri huko pemba
Ilah sikuweza fika pemba kujua soko la hizo bidhaa likoje sabab hela nayo Ni tatizo
Ilah sijajua pia ungujah vitu vyao km mboga mboga ,nafaka na viungo vinatokea wapii na soko lake kwa bidhaa za vyakula likoje
Kwa walio wahi fanya biashara ya nafaka,mazao na mboga mboga kwa visiwa vya pemba na ungujah naomba tushare ujuzi
Upande wangu nataka nifanye biashara ila tatizo sifahamu Hali ikoje pia hela ynyw Ni ndogo kiasi kwamba kufanya utafiti mwnyw mtaji unakatika
Wandugu msaada wa taarifa juu ya mwendendo wa biashara na masoko
Natanguliza shukrani
Mimi Niko morogoro ilah nilifika tanga mjini soko la mgandini nikakuta magari mengi malori ya Azam yamebeba vitunguu ,makabichi,nyanya na vitu vingine nkaambiwa kwamba vyote vinaenda pemba na Ni mtindo Kila j3 hivyo haraka haraka biashara inaonekana kuwa vizuri huko pemba
Ilah sikuweza fika pemba kujua soko la hizo bidhaa likoje sabab hela nayo Ni tatizo
Ilah sijajua pia ungujah vitu vyao km mboga mboga ,nafaka na viungo vinatokea wapii na soko lake kwa bidhaa za vyakula likoje
Kwa walio wahi fanya biashara ya nafaka,mazao na mboga mboga kwa visiwa vya pemba na ungujah naomba tushare ujuzi
Upande wangu nataka nifanye biashara ila tatizo sifahamu Hali ikoje pia hela ynyw Ni ndogo kiasi kwamba kufanya utafiti mwnyw mtaji unakatika
Wandugu msaada wa taarifa juu ya mwendendo wa biashara na masoko
Natanguliza shukrani