JipuKubwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 2,341
- 2,390
Ndugu wanajamvi nina mtoto wa miezi 9 wa kiume ana wiki sasa anakohoa japo si mfululizo,jana dokta amenipa dawa zifuatazo; SYU Amox, JSYU Cough mix na Tabpam.
Naomba msaada wenu juu madhara ya dawa hizi kwasababu mimi nipo safarini,wife ndo alimpeleka dogo kituo cha afya na hakumuuliza dokta swali hilo.
Naomba msaada wenu juu madhara ya dawa hizi kwasababu mimi nipo safarini,wife ndo alimpeleka dogo kituo cha afya na hakumuuliza dokta swali hilo.