Mtaule mgunda
Senior Member
- Jan 25, 2014
- 193
- 61
nikua mimi nipo songea,lakini nataka kusafiri kwenda morogoro kwa kukatsha safar either songea mbaka makambako alafu morogoro,,au songea mbaka iringa alafu morogro, sasa nauliza nikifika pale iringa saa 9 jioni je nitapata usafiri wa morogoro?? pili nikifika pale makambako sa 5,nitapata usafiri wa morogoro??
mada zingine kusumbuana tu ili muonekane mpo. Si ujaulize hapo stand jamanUsafiri wa kutosha,
mkuu stendi ganii mimi nitauliza wakati nipo huku kusini magarbi mwa nchi.mada zingine kusumbuana tu ili muonekane mpo. Si ujaulize hapo stand jaman
Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuu,vp naulii ni shilingi ngapiUsafiri wa kutosha,
mkuu matusi hayamkuu ujapataga hata kavits kwakukupeperusha mitaa mbalimbali ya nchi
Endelea kuwepo hko kusin magharib kwenye watu wasiojulikanamkuu stendi ganii mimi nitauliza wakati nipo huku kusini magarbi mwa nchi.
aaa mkuuu,acha dharau
asante mkuu,vp naulii ni shilingi ngapi
sawa mkuu,magari mwish saa ngapIringa - Morogoro Tshs 15000
Usafiri upo mkuu kuna mabasi yanayotokea Zambia na Congo ya Kampuni ya Taqwa uyayapata wakati huo ondoa shaka kabisa mpaka Saa11:30jioni bado unasafirinikua mimi nipo songea,lakini nataka kusafiri kwenda morogoro kwa kukatsha safar either songea mbaka makambako alafu morogoro,,au songea mbaka iringa alafu morogro, sasa nauliza nikifika pale iringa saa 9 jioni je nitapata usafiri wa morogoro?? pili nikifika pale makambako sa 5,nitapata usafiri wa morogoro??
asante mkuuUsafiri upo mkuu kuna mabasi yanayotokea Zambia na Congo ya Kampuni ya Taqwa uyayapata wakati huo ondoa shaka kabisa mpaka Saa11:30jioni bado unasafiri