Msaada juu ya HIV

Dine

Member
Joined
Apr 19, 2012
Posts
57
Reaction score
6
Wadau habari zenu,

Mimi nilikuwa na mpenzi wangu sasa baada ya kuwa na kwa takriban mwezi mmoja tukiwa wapenzi tukaamua kwenda kupima bahati mbaya mwenzangu alikutwa ana maambukizi na tayari tulishaduu naye na yeye tayari alishaanza kutumia ARV maana alikuwa na cd4 count 97.

Mimi niliambiwa nirudi tena, Je kwa hiyo kinga aliyokuwa nayo na hatukutumia condoms mimi nitasalimika kweli?

Naombeni ushauri wa kunijaza imani.
 
Nenda kapime ili upate uhakika kwani hapa hutoweza kupata jawabu la maana kila mmoja anaweza kukwambia anavyoona yeye.

Kimbilia hospitali ili ujuwe ukweli.
 
Ndugu yangu, kwanza nikupe pole. Siyo rahisi kukuhakikishia kuwa umepata maambukizi kwani sio wote wanaodu na mtu aliyeambukizwa wanapata maambukizi, kuna factors nyingi sana. Ningeweza kukushauri kutumia dawa za kuzuia maambukizi lakini siku zimeshapita sana. Ushauri wa sasa ni wewe kwenda kupima kwani inawezekana kuwa wote mlikuwa mmeambukizwa kabla ya kudo. Ikiwa utakuta majibu ni negative basi ujipe moyo na urudie kupima tena baada ya miezi 6. Na kama ikipita miezi 8 na bado ni negative basi wewe huna maambukizi.
 
Ndiyo unaweza kusalimika, kuna watu walifanya mapenzi na waathirika na hawakutumia kinga na bahati nzuri hawakuambukizwa hivyo nawe unaweza kuwa katika kundi hilo. Ila fuata ushauri wa wataalam na kuhakikisha unapima bila kukosa kila unapotakiwa kufanya hivyo mpaka pale wataalam hao watakapokufahamisha kwamba umenusurika na huna sababu ya kuendelea kupima.

 
Mimi sio daktari ila nimewahi kusoma kwamba mtu mwenye hiv anaetumia dawa anapunguza makali ya kuambukiza kwa hiyo wewe kama hukuwa nao na uliefanya nae alikuwa kwenye dawa una kachance kakutoka mzima hapo. Ila kama umeponea chupu chupu the only way to find out ni kwenda kupima. Na kama ulivyoshauriwa upime twice in every three months. Pole sana I cant imagine how you feel ila hiv sio kama zamani so hata ukijikuta nayo usikate tamaa kuna madawa siku hizi and as long as you take your meds eat well na unajikinga usipate new strains you will be golden.
 
Kuambukizwa virusi vya HIV sio mwisho wa maisha, unaweza ukaishi miaka 30 hadi 50 kama utafuata masharti, usikate tamaa.
 

Muombe mungu tu ila kama ulikuwa unasimamia show kwa kucha!!!! Jipange


🙏🙏🙏🙏
 
Asanten kwa ushaur nilipima ilikuwa mwezi wa sita na hv kesho naenda tena nipime
 
mmmmhhhh leo hizi threads zitanipeleka icu
1. Inamaanisha alikuwa anajijua lakini hakutaka kukwambia?
2. Mlifanya kwanza live kwa mwezi mmoja ndio mkaenda kupima?
duu pole sana unaweza salimika u never know
 
samahani kwa kutoka nje ya mada,ulimpata hapa jf?
 
Kama umekata nanihi aalafu mwenza wako ulimuanda vizuri sio rahisi kivire mm ni muhanga wa hilo swala ilikua mwaka 2008 nikagundua kua mwenzangu ana hilo tatizo tukiwa tumeduu zaid ya mara nne pia unapaswa ijiamini na uwe jasir
 
Wenzio tumekua wazee wa bao moja moja zikizidi mbili bac moja saa 2 usiku ya pili saa 10 alfajiri niko naye huu mwaka 6 na ni mzima salmin, ila nyege zikijaa unaweka na salama study kama box 3 pembeni.
 
mmmmhhhh leo hizi threads zitanipeleka icu
1. Inamaanisha alikuwa anajijua lakini hakutaka kukwambia?
2. Mlifanya kwanza live kwa mwezi mmoja ndio mkaenda kupima?
duu pole sana unaweza salimika u never know

hata yy hakujijua ila baada ya vpimo ndo akafahamu na niliendelea kumpa msaada pale alipokwama
 
Mkuu much pole tu you..!! Possibilty ya ww kuwa -ve ni ndogo sana as longer ulisha thibitisha kwamba mweznio amesha athirika..!! Ungekuwa umewahi ninge kuahauri utumie PEP(post exposure prophylasis) ila kwakuwa muda umekwanda cha msingi nenda kapime ili kupata uwakika wa afya yako.
 

!
!
kuna vitu vya kupima mkuu..ila siyo uzito wala ngoma. Umelianzisha haya sasa limalize
 

ndo nini mbona ki2 mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…