Msaada juu ya hizi button kwenye gari

Msaada juu ya hizi button kwenye gari

Naendelea kujifunza kuhusu overdrive.
Watu wengi sana wana confuse kuhusu OD. Ukiona Dashboard imewaka OD Off, manake ipo off, hapo gari utaona inabadilika gear faster tu, ukiwa huioni kwenye dashboard ujue ipo on hio, hapo gear zitachelewa kidogo.

Siku hizi utakuta button imeandikwa PWR hutoikuta OD, kazi yake ndio hio hio, kuna baadhi ya watu wanafikiri ukibonyeza PWR manake unaongeza nguvu ya engine. Wakati kumbe ni kama OD tu.
 
Watu wengi sana wana confuse kuhusu OD. Ukiona Dashboard imewaka OD Off, manake ipo off, hapo gari utaona inabadilika gear faster tu, ukiwa huioni kwenye dashboard ujue ipo on hio, hapo gear zitachelewa kidogo.
Hiki ndicho nnakijua na ndicho nilichosema mwanzo (refer post #19). By default, O/D huwa iko ON na kwenye dashboard huwa hakuna maandishi. Mkasema nimechanganya.....nikashindwa kuelewa. Mostly huwa naiweka OFF (kwenye dashboard hutokea O/D OFF) pale ninapotaka ku overtake kwa haraka, then nairudisha ON.
 
Hiki ndicho nnakijua na ndicho nilichosema mwanzo (refer post #19). By default, O/D huwa iko ON na kwenye dashboard huwa hakuna maandishi. Mkasema nimechanganya.....nikashindwa kuelewa. Mostly huwa naiweka OFF (kwenye dashboard hutokea O/D OFF) pale ninapotaka ku overtake kwa haraka, then nairudisha ON.
Ulizungumzia kuwa OD ikiwa On inaruhusu gia ya nne na ikiwa off hairuhusu ya nne, wakati ni opposite and still not correct info you gave. Kiuhalisia ndo kama nlivokwambia, Ikiwa On gia itachukua mda kuchange (ndo unapoona kama haingii ya nne).
 
Shukran mkuu, vp kuhusu hicho kibutton chenye rangi nyekundu...maana hakina maelezo bali kiwekwa rangi nyekundu tu
Unahamishia gear wakati gari limezimwa.
 
System ya gari yako ikoje mkuu
Hii hapa mkuu icheki,
images.jpeg
 
Ukiangalia namna hiyo system ilivyo kuanzia chini kuna 1,2,3,D nyingine hua na L,2, 3,D etc unapo press MANU button ukiwa kwenye D gari utaendesha gari kama gari ya manual meaning gari haita jibadili gia hadi wewe ubadili.
Utatoka D utaenda 3,3-2,2-1 kama manual tu.
Umeelewa?!?!
View attachment 762552
Ila hayo sio matumizi sahihi ya hio gearbox na unaweza kuua system mbeleni. Gari yenye dedicated manual shifting lazma gearbox yake iwe na automated clutch. Pia ina njia maalum kwa ajili ya manual transmission inayokuwa na + au - kama ilivyo yangu.

Magari ya kisasa wameweka paddle shifters nyuma ya steering wheel ili kurahisisha matumizi.
 
Hapo unafosi kihuni ila hio gearbox haijabuniwa kufanywa hivyo. Gari zenye Auto/ Manual transmission zinakuwa na embeded clutch kwenye gearbox kwa ajili ya ku control gears na inakuwa na njia yake ya ku engage kwenye manual transmission. Unatoka D unaingia M/S kisha unacheza na + na -
Mbona Ukitaka kuendesha gari ya automatic kama manual inawezekana sana bila ya hata hio Button ya Manual.

Kama una gari auto, washa mashine, weka L/1 usiweke D, endesha mpaka unapojisikia saivi unataka kuchange gia, pandisha 2 bila kukanyaga breki utaona inaingia gia fresh bila waswas, endelea mpaka ufike D
 
Kwenye coments ambazo zimenichanganya kabisa ni hizo za OD/OFF na ODD/ON
 
Ila hayo sio matumizi sahihi ya hio gearbox na unaweza kuua system mbeleni. Gari yenye dedicated manual shifting lazma gearbox yake iwe na automated clutch. Pia ina njia maalum kwa ajili ya manual transmission inayokuwa na + au - kama ilivyo yangu.

Magari ya kisasa wameweka paddle shifters nyuma ya steering wheel ili kurahisisha matumizi.
Mkuu nipo sahihi kwa maelezo yangu, nimejaribu kuangalia hiyo system ulio tuma attachment naona ni modern kidogo ila yenyewe imekuja na option ya paddle.
"
Some brands also have the +/- or the M shift mode. This is usually in combination with paddle shifters at the back of the steering wheel; an up and down option on the gear shifter; or a +/- switch on the shifter knob. You can use this to downshift or upshift manually in certain situations without getting out of the automatic transmission capability. For example, when overtaking, it’s recommended that you downshift in order to get the needed power. You can do this with the +/- mode"
Nimekuta sehemu hayo maelezo.
So tupo kwenye mstari mmoja tofauti ni aina ya mfumo.
Nimegain kitu, thanks..
 
Mkuu nipo sahihi kwa maelezo yangu, nimejaribu kuangalia hiyo system ulio tuma attachment naona ni modern kidogo ila yenyewe imekuja na option ya paddle.
"
Some brands also have the +/- or the M shift mode. This is usually in combination with paddle shifters at the back of the steering wheel; an up and down option on the gear shifter; or a +/- switch on the shifter knob. You can use this to downshift or upshift manually in certain situations without getting out of the automatic transmission capability. For example, when overtaking, it’s recommended that you downshift in order to get the needed power. You can do this with the +/- mode"
Nimekuta sehemu hayo maelezo.
So tupo kwenye mstari mmoja tofauti ni aina ya mfumo.
Nimegain kitu, thanks..
Oh yeah, ndio hivyo mkuu ila hio ni gear lever ya Mark X kiongozi ila yangu haina paddle shifters. Ni model ya 2009 ni kitambo kidogo sema huwa ziko kwenye gari chache
 
Hapo unafosi kihuni ila hio gearbox haijabuniwa kufanywa hivyo. Gari zenye Auto/ Manual transmission zinakuwa na embeded clutch kwenye gearbox kwa ajili ya ku control gears na inakuwa na njia yake ya ku engage kwenye manual transmission. Unatoka D unaingia M/S kisha unacheza na + na -
Hamna mkuu sio kihuni. Kihuni ni kutoka D kuingin reverse au parking bila kusimama kwanza.

Ubadilishaji wa gia huo nlosema hauharibu gearbox, ni kawaida tu. Ikiwa unataka kugain speed kwa haraka, unaweza ukaanza moja ukarev mpaka mwisho ukachange kwenda 2 bila brake. kuforce ungeona kunakuwa na shida.

Hizi zenye M/S na hizi zilizokuwa hazina ni sawa, hio M/S umeekewa kwamba upate raha tu vile unavochange gear. Lakini ni sawa tu
 
Hamna mkuu sio kihuni. Kihuni ni kutoka D kuingin reverse au parking bila kusimama kwanza.

Ubadilishaji wa gia huo nlosema hauharibu gearbox, ni kawaida tu. Ikiwa unataka kugain speed kwa haraka, unaweza ukaanza moja ukarev mpaka mwisho ukachange kwenda 2 bila brake. kuforce ungeona kunakuwa na shida.

Hizi zenye M/S na hizi zilizokuwa hazina ni sawa, hio M/S umeekewa kwamba upate raha tu vile unavochange gear. Lakini ni sawa tu
Hahaha kwahio unaona ni sawa na sababu ni ili upate raha sio?
 
Hahaha kwahio unaona ni sawa na sababu ni ili upate raha sio?
mfano altezza ina button ya up and down kwenye steering, unaweka Manual afu unachange gear kwa button, basi unajiona uko kwenye F1 car wakati kumbe hp 200 tu nyodo zote. Watengezaji magari wanajua kutuzuzua....

Mi yangu nikipata uwanda huwa naanza gia moja, raha sana kuvutia engine mpaka ikafika rev limit unachange gia 😀

hebu jaribu kisha uje unipe mrejesho... kama unapenda magari ukipata uwanda na mafuta unayo utafanya tu huu mchezo
 
mfano altezza ina button ya up and down kwenye steering, unaweka Manual afu unachange gear kwa button, basi unajiona uko kwenye F1 car wakati kumbe hp 200 tu nyodo zote. Watengezaji magari wanajua kutuzuzua....

Mi yangu nikipata uwanda huwa naanza gia moja, raha sana kuvutia engine mpaka ikafika rev limit unachange gia 😀

hebu jaribu kisha uje unipe mrejesho... kama unapenda magari ukipata uwanda na mafuta unayo utafanya tu huu mchezo
Hahahah alteza ina paddle shifters kwani?
 
Hahahah alteza ina paddle shifters kwani?
Hakuna sehemu nimesema paddle shifters, nimesema buttons ya Up and Down zinatumika kuchange gear.... Au hujawahi kuona Altezza ikiwa na hio kitu?
 
Hakuna sehemu nimesema paddle shifters, nimesema buttons ya Up and Down zinatumika kuchange gear.... Au hujawahi kuona Altezza ikiwa na hio kitu?
Sijaona kiongozi, pia nmeuliza ili unifahamishe tu kiongozi mi mgeni kwenye tezza
 
Sijaona kiongozi, pia nmeuliza ili unifahamishe tu kiongozi mi mgeni kwenye tezza
Tafuta altezza ya 3sge au ile 6 cylinders lakini yenye engine ya 2jz sio 1g. utaona kwenye usukani kuna buttons apo
 
Back
Top Bottom