Msaada juu ya kujiunga chuo cha N I T cha usafirishaji

Joined
Jul 6, 2017
Posts
15
Reaction score
0
Samahann wakuu hivi ni coz gani nzr ambayo humfaa mtu ambaye wastan wake wa form 4 kapa division 3 na
Ana F ya mathe
C ya chemia
C ya biology
D ya geography
D ya history
C ya kiswahili
D ya English
Ni kozi gani inayo mfaa huyu mtu ambayo anaweza kuipata kiurahisi
[emoji120] [emoji120] [emoji120] comment zenu jamn
 
Uhaligani bro,
Wahenga walisema hakuna swali la ujinga au mbaya ILA jibu.
Masomo tunayopata darasani pamoja na matokeo ya mitihani ni ishara na vipima ujuzi tu. Umuhimu hasaa wa yale masomo ni kumwezesha mtu kuyaelewa maisha na ulimwengu, ni darubini ya kuyavuta mambo na matukio yakawa jaribu nawe kikuyaelewa. You can apply your knowledge BUT you can't employ it.
Swali la kujiuliza mdogo wangu ni, unafurahia kufanya kitu kipi kwa maisha. Kitu/fani ambayo itakuletea furaha na kukuridhisha hata bila kipato na heshima hata bila umaarufu. Hapo basi utaweza kuishi maisha mazuri na ya furaha. Ila wengi wanataka pesa, mali na sifa/wanawake(wanaume) na hizi hazihitaji fani au course kuzipata.
 
Habar znu ndugu zng mm ni new member. ninaswal kuhusu nit.....kwamba nahtj kusomea udereva wa magar makubwa yn malori. je wanatoa koz ya udereva wa aina hyo
 
Sasa kusoma udereva hadi chet cha form IV kwani, sikuhizi hawataki leaving certificate tu?
 
Habar znu ndugu zng mm ni new member. ninaswal kuhusu nit.....kwamba nahtj kusomea udereva wa magar makubwa yn malori. je wanatoa koz ya udereva wa aina hyo
Mkuu coz hzo za udereva zpo ila pale wanapandsh lesen tu yan in kazma uende ukiwa na lesen
 
Ninachojua mimi NIT hawafundishi udereva ila wanafundisha usafirishaji. Hivyo mtoa mada nakushauri ufike chuo cha NIT, au wakala wake ili upate msaada zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…