INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Ili tbl wakuletee bia hapo unahitaji uwe na uwezo wa kuchukua kreti kuanzia 300.
Ili kampuni za soda zilete inabidi umendee tu kilori cha soda kikiwa kinapita. Au ukatafute namba zao.
Uko sahihi kabisa. Kwa coca cola inabidi amjue local authorized distributor kwa kuwa anaanza na mzigo kidogo ndo ampe mzigo kama stockist. KwsaPepsi atege magari yao yanayopita barabarani wamshushie kwake dukani kabisa kama panafikika na gari. Note that: Kama hana makreti matupu itabidi anunue kwao kwa gharama ya 10000tsh kwa kila kreti tupu. Na kwa bia aulizie alipo agent wao mkubwa wa karibu atamshushia hadi dukani kwake. The same kwa watu wa maji na juisi.Tbl wanatoa bia toka kiwandani kwao kwenda kwenye distribution centre, awa wanauzia stockist ambao hawawezi kuagiza gari kubwa au crate nyingi. Ili uweze kununua kiwandani utaitaji uchukue mzigo mkubwa, pia uwe na account
Kwa vile unaanza itabidi ununue kwa dc/stockists katika bei elekezi, ndipo wewe utaendelea na process za uuzaji.
Nafikiri soda nao wanafanya hivyo hivyo pia kama nakusoea ntarekebishwa
Tbl wanatoa bia toka kiwandani kwao kwenda kwenye distribution centre, awa wanauzia stockist ambao hawawezi kuagiza gari kubwa au crate nyingi. Ili uweze kununua kiwandani utaitaji uchukue mzigo mkubwa, pia uwe na account
Kwa vile unaanza itabidi ununue kwa dc/stockists katika bei elekezi, ndipo wewe utaendelea na process za uuzaji.
Nafikiri soda nao wanafanya hivyo hivyo pia kama nakusoea ntarekebishwa
Asante kwa ufafanuzi.Naomba kujua bei ya kreti ya soda kwa bei ya jumla,ambayo kiwanda kitamuuzia agent.Uko sahihi kabisa. Kwa coca cola inabidi amjue local authorized distributor kwa kuwa anaanza na mzigo kidogo ndo ampe mzigo kama stockist. KwsaPepsi atege magari yao yanayopita barabarani wamshushie kwake dukani kabisa kama panafikika na gari. Note that: Kama hana makreti matupu itabidi anunue kwao kwa gharama ya 10000tsh kwa kila kreti tupu. Na kwa bia aulizie alipo agent wao mkubwa wa karibu atamshushia hadi dukani kwake. The same kwa watu wa maji na juisi.
Nikuuzie creti za bia ?Na mimi nahitaji kuanzisha duka la vinywaji Jumla
Nikuuzie creti za bia ?
Niuzie na za soda piaNikuuzie creti za bia ?
Unauzaje crate za soda tupu?Ukiitaji kreti tupu nicheki,zipo 30
Hizo crate bado zipo?au nimechelewaUna creti za soda? Upo wapi?
habari, kreti tupu bado zipo?Ukiitaji kreti tupu nicheki,zipo 30
hapa wanakuuzia kwa bei ya kiwandani?Ili tbl wakuletee bia hapo unahitaji uwe na uwezo wa kuchukua kreti kuanzia 300.
Ili kampuni za soda zilete inabidi umendee tu kilori cha soda kikiwa kinapita. Au ukatafute namba zao.
Yeshapa wanakuuzia kwa bei ya kiwandani?