INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Habari za jion wana jeifu.
Ndugu zangu nimeamua nimfungulie mama watoto biashara ili asikae home kizembezembe nae ajifunze kutafuta hela.
Biashara ni kuuza vinywaji kwa jumla kama bia, soda, juice, maji nk. Bia tumetarget za local na baadhi za imported kama heineken, savanna nk. Kadri biashara itakapokuwa inakwenda vzr tutaanza kuongeza na vinywaji vingine.
Msaada naomba kujua ili TBL wakuletee kreti za bia dukani kwako unatakiwa uanze na kreti ngapi? Na kwa upande wa kampuni ya cocacola na pepsi na wenyewe wanataka uanze na kreti ngapi?
Ni hayo tu naombeni mwongozo kwa wale wajuzi na wenye uzoefu na hii biashara.
Ndugu zangu nimeamua nimfungulie mama watoto biashara ili asikae home kizembezembe nae ajifunze kutafuta hela.
Biashara ni kuuza vinywaji kwa jumla kama bia, soda, juice, maji nk. Bia tumetarget za local na baadhi za imported kama heineken, savanna nk. Kadri biashara itakapokuwa inakwenda vzr tutaanza kuongeza na vinywaji vingine.
Msaada naomba kujua ili TBL wakuletee kreti za bia dukani kwako unatakiwa uanze na kreti ngapi? Na kwa upande wa kampuni ya cocacola na pepsi na wenyewe wanataka uanze na kreti ngapi?
Ni hayo tu naombeni mwongozo kwa wale wajuzi na wenye uzoefu na hii biashara.