Msaada Juu ya kusajili jina la biashara

Msaada Juu ya kusajili jina la biashara

kwa sababu mimi si mwajiriwa wa brela ,huwa sishindi maeneo ya brela ,ni pale ninpokuwa nina kazi inayohusu brela, ni vema kunipigia mapema ili niweze program mambo yangu , vinginevyo nitakupa maelekezo kwenye simu bure kama nilivyofanya kwa member ALF jana .
 
wana jf wa Arusha wameitikia wito wa kusajili biashara kwa kupitia mimi, ukiacha member mmoja aishishiye Mwanza ,4 wote ni wakazi wa Arusha, nina furahi kwamba nimeweza kuwasajilia na kuwatumia, ila mmoja kati ya hao wa nne cert yake yaweza toka ijumaa ya week inayoanza.Members mnaoishi mikoa mingine ,tumieni fursa hii,niwasaidie kusajili biashara zenu .
 
Je na sisi tuishio ngambo ya nchi unaweza tusaidiaje?????
 
Je na sisi tuishio ngambo ya nchi unaweza tusaidiaje?????
Ok ,naona bado hakuna ugumu, kama ni company limited naandaa Memorundum ambapo muongozo wa nini unataka kufanya napata toka kwako,kisha nakutumia pages za kusign online na wewe una print na kutuma original signed copies .malipo utatuma pitia njia yoyote rahisi kwako. pindi utapo hitaji nijulishe , kwa kunipigia ,ama private message na nitakupa mail yangu pia.
 
good post. i think i need your services, Mr Singo.
 
SINGO mi nahitaji kwa ajili ya Sole propreator, ni PM namba yako please


Mimi nafanya shughuli ya kuwasijilia watu pale Brela , business registrations na Company Limited. Bei ya ya kusajili biashara ni sh 6000 tu na huchukua week kupata cert of incorporation/certificate of registration. kabla hujasajili tunaandika barua ya kusearch jina kama halipo na linaloendana ,jina likiwa approved ambayo huchukua takriban siku tatu tunalipia usajili(hii ya kuandika baruaya search ni kwa company limited tu). Gharama yangu nitakufanyia 30,000,kwa kukufuatilia mpaka usajili ukamilike, nje ya hela ya kukutumia document na hela ya kulipia cert.Ukitaka msaadazaidi toka kwangu nitumie private message.Kifupi nina uzoefu wa kazi hii na nafanya kwa uaminifu na uhakika.

NB: Kutokana na kazi nyingi wanazopata brela kumekuwa na delay ya kuprocess ceriticate registrations na cert of incorporation,ambapo baada ya ufuatiliaji wa mara kadhaa toka ulipie ,inaweza fika hadi siku 7 hadi 10 za kazi ndio unapata hizo registrations tofauti na nyuma kidogo ambapo hata ndani ya week moja ungeweza pata



Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
namba yangu ni 0712 742233,pia nilishaweka kwenye page ya kwanza
 
Wapendwa wana JF kupitia hapa JF kwa msaada mkubwa wa Singo nimeweza kusajiri jina la biashara yangu bila ubabaishaji wowote. Kwa yeyote anayehitaji huduma hiyo tafadhali muwasiliane na Singo. Hili siyo tangazo au promo hapana bali ni kwa wale walio serious kupata huduma hiyo wamuone ili wapate huduma hiyo bila longolongo yoyote.

Thanks a lot Singo!
 
najibu kwa ufupi maswali ninayoulizwa kwa simu kuhusu business names registration

swali nahitaji kuambatanisha kitu gani kama nataka kusajili jina la biashara?

jibu hauitaji kuambatanisha doc yoyote katika form ya kusajili jina la biashara, ila kuna taarifa kama ,jina ama majina unayopendekeza kutumia,box no, house no/block no mtaa,wilaya na mkoa wa eneo unaloishi na unalotegemea kufannyia shughuli zako za biashara, jina la mtu ambaye ndio mwenye hiyo biashara n.k.

swali utaratibu wa kusajili kikundi brela ukoje,je katiba ya kikundi inahitajika?

jibu kusajili kikundi brela haiitaji kuambatanisha katiba ya kikundi,ila form inayotumika kusajili patnership business ndio hutumika kujaza info za kikundi, na watu wa hicho kikundi wasizidi ishirini.

karibuni hata kwa ushauri tu, Qsm ambaye ni mkazi wa Arusha amekuwa ni mmoja tu kati ya jf members sita niliowasajilia ambaye amerudi kwenye hii thread kutoa ushuhuda ,namshukuru kwa kutoa feedback.

Mrejesho zaidi....

Toka nipost kwenye hii thread mara ya mwisho 2013 ,niliendelea kuwasajilia watu waliokuwa wananitafuta baada ya kunisoma hapa hadi hii 2015 nimeendelea, kifupi nimefanya kazi nyingi na watu wa mikoa tofauti tofauti MBEYA,ARUSHA ,KILIMINAJARO,DAR ES SALAAM.LINDI,RUKWA ,PWANI ,SONGEA ,KAHAMA,RUVUMA kwa upande wa limited company na business name, na watu hawa si wote ni member wa jamii forums bali walipata link walivyokuwa wanasearh taarifa za usajili pitia google .Nawashukuruni wote mlioniamini na mnaoendelea kuniamini na kunianganisha na watu wengine, pia itakuwa nzuri zaidi mkija na feedback ktk thread hii ama thread nyingine yoyote mliyopatia taarifa zangu za maswala ya usajili wa company and business names baada ya kupata kazi zenu nilizowasajilia.
pia kuona baadhi ya kazi na feed back ya nilio wafanyia ,waweza pitia thread https://www.jamiiforums.com/ujasiri...ess-names-na-company-limited-2013-2014-a.html
 
Back
Top Bottom