Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 653
- 1,698
Sio kwa ubaya ila jitahidi kuficha ujinga wako.Una haraka gani? Pana Maporomoko hapo ama?
Asante kwa mwongozo mkuuSina uzoefu sana lkn nadhani kuna mchakato unafanyika, tafuta Mwana sheria nadhani atakusasidia zaidi Ila hata itoke kwa Jina la mnunuzi.
Au fika ofisi ya Aridhi
Nahisi yatakywa yanasoma maana walishaniita kuhakiki kila kitu baada ya kupima. Wakaniambia kila kitu tayari nisubiri tu hati ila mwaka na zaidi umepita.Hiyo itakuwa simple sana nendeni ardhi mkathibitishe kama majina ya mmiliki wa kwanza hajaanza kusoma kwenye systems...
Kama hayajaanza kusoma maana yake mtauziana juu kwa juu halafu mmiliki mpya ataanza harakati za kujisajili upya umiliki.
Ila kama majina ya mmiliki wa awali yanasoma Ardhi watawaelekeza cha kufanya ili mmiliki mpya aweze kubadilisha umiliki...?
Mkuu sheillah,Sio kwa ubaya ila jitahidi kuficha ujinga wako.
Sawa mkuu, ila kanishangaza kuuliza nina haraka ya nini. Hajui kimfaacho mtu chake na sio kila anayeuza mali yake anauzia starehe ndio akae asubiri tu.Mkuu sheillah,
Akificha ujinga wake atajua lini?
Muache mjinga aongee ili asaidiwe kutoka huko.
mnauziana ila kutakuwa na jukumu la kubadilisha umiliki ambalo nazani muhusika mkuu itakuwa ni huyo mnunuzi...wewe utatakiwa tu kuthibitisha kuwa umemuuzia...!Nahisi yatakywa yanasoma maana walishaniita kuhakiki kila kitu baada ya kupima. Wakaniambia kila kitu tayari nisubiri tu hati ila mwaka na zaidi umepita.
Hapa itabidi niende kweli Ardhi kufuatilia utaratibu itakuwaje. maana nadhani sitaweza kutumia mkataba tu kuuza.