oxlade
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 601
- 96
naomba mwenye ujuzi wa hli neno anipe msaada, maana linanipa utata, nasikia wanawake wakiimba harusini, na wakati mwngne m2 akpendeza huambiwa ametoka kimasomaso.
Mwngne akaniambia kimasomaso ni mtu mwenye jicho la husda ambaye anaweza akaitazama mboga mpaka ikachacha, ndo mana huwa wanaimba kimasomaso mwanangu usimuone.
Je nini maana halisi na sahihi ya KIMASOMASO?
Mwngne akaniambia kimasomaso ni mtu mwenye jicho la husda ambaye anaweza akaitazama mboga mpaka ikachacha, ndo mana huwa wanaimba kimasomaso mwanangu usimuone.
Je nini maana halisi na sahihi ya KIMASOMASO?