samahani, nauliza kuhusuk ugawa mirathi(mafao ya kazi ya kila mwezi) kwa asilimia kwa wanafamilia, je kuna umuhimu/ulazima na kama kuna madhara ni yapi.
Nb. Familia ni ya mjane mmoja ila kuna form ya mfuko wa jamii inahitaji hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.