Msaada juu ya REHAB (kituo cha tiba dhidi ya mtopeo), nataka niokoe maisha ya kaka yangu

nic91

Senior Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
171
Reaction score
76
Habari zenu wanajukwaa, naomba kwa anayefahamu REHAB nzuri ikiwa pamoja na gharama zake na mkoa ilipo, naomba anisaidie nipo na uhitaji sana wa kuokoa maisha ya kaka yangu.
 
Pole sana mkuu......naelewa vile unafeel.......nilisikia moja ipo Zenj......wacha wenyeji waje watueleze........
 
Nashukuru sana Preta.
 
Ila kaka yako inabidi awe tayari kwenda rehab. Usimsuprise, Usimlazimishe, haitasaidia maana uamuzi inabidi utoke moyoni...
 
Rehab ndio nini .....! Rehabilitation !!!??? Ya nini ...madawa ya kulevya ,ya viungo ,au ulemavu!
habari zenu wanajukwaa, naomba kwa anayefahamu rehab nzuri ikiwa pamoja na gharama zake na mkoa ilipo, naomba anisaidie nipo na uhitaji sana wa kuokoa maisha ya kaka yangu.
 
Ni alcoholism, imefikia stage mbaya sana.
Au kama kuna namna yeyote ile tafadhali naomba ushauri wako.
 
lAH POLE ,KUNA MFANYAKAZI MWENZANGU NAYE ANAHANGAIKA NA MTOTO WAKE,...JUZI TULIKUWA TUNAANGALI ADAWA ZA KIENYEJI ,ILA NYINGI NI MPAKA MHUSIKA AWE AMEKUBALI ...MUNGU AWE NAWE
Ni alcoholism, imefikia stage mbaya sana.
Au kama kuna namna yeyote ile tafadhali naomba ushauri wako.
 
Habari zenu wanajukwaa, naomba kwa anayefahamu REHAB nzuri ikiwa pamoja na gharama zake na mkoa ilipo, naomba anisaidie nipo na uhitaji sana wa kuokoa maisha ya kaka yangu.

Poleni. Kuna iliyo Kigamboni. Imesaidia wengi. Ni-pm nikupe contact ya owner
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…