Msaada juu ya rejesho la jumla la mkopo benki X kuzidi makato

Msaada juu ya rejesho la jumla la mkopo benki X kuzidi makato

fkimwaga88

Member
Joined
Dec 18, 2012
Posts
28
Reaction score
17
Nawasalimu wanajukwaa!

Natatizwa na Jambo kuhusu mkopo wa benki Fulani, itakapolazimu nitaitaja.

Mimi ni mtumishi wa umma ktk halmashauri Fulani, nimeomba mkopo wa wafanyakazi kwa makato ya sh 138000 kwa Kila mwezi kwa muda wa miaka 8.

Ukizidisha sh 138000 kwa miaka 8 ni jumla ya sh isiozidi 13250000/-.

Jambo langu ni hapa, Nimepewa barua ya kumkabidhi mwajiri wangu aingize makato ya sh 138000/- kwa miaka nane na jumla ya hela kwa miaka yote ni sh 13525000/-

Nimemuliza afisa mikopo mbona hivi? Anasema ndiyo iko hivyo na mikopo mingi system zao zinawaletea hivyo, Ila hilo halisumbui kwani muda wa mkopo ukiisha system inajifunga automatic!.

Swali langu kabla sijazozana nao,je nikweli analosema afisa mkopo wa benk X litakua hivyo?

Kama ni kweli kwanini wasiweke tarakimu kamili, wanakwama wapi ktk Zama hizi za kompyuta na teknolojia?

Kabla sijapeleka Jambo hili TAKUKURU naomba mawazo yenu enyi jamaa zangu!

Asante!
 
Mimi sijaelewa makato yanayozidi ni yapi? sababu kiasi ulichokopa na riba havijulikani huenda hata wewe pia huvijui.

niliwahi kuelimishwa kwamba unapoenda kukopa kwenye taasisi za kifedha kwa riba zingatia haya.

1. kiwango cha riba kinahimilika?
2. hiyo riba ni reducing balance
ama ni flat rate ?
katika kufuatilia, nilibaini benki nyingi riba zao ni flat rate.

wengi hayo hatuyajui tunaishia kuulizia riba ni kiasi gani na makato au marejesho kwa mwezi itakuwa kiasi gani basi! lakini katika mambo mengine maafisa wa benki hawatakwambia mfano bima ya mkopo na gharama ya kuandaa mkopo wako. Kumbuka fedha hizi zitakatwa kutoka kwenye mkopo wako ulioomba. kiwango utakachopewa hakitakuwa sawa na kiwango ulichoomba kukopeshwa lakini utarejesha kiwango ulichoomba kukopeshwa
 
Nawasalimu wanajukwaa!
Natatizwa na Jambo kuhusu mkopo wa benki Fulani,Itakapolazimu nitaitaja.
Mimi ni mtumishi wa umma ktk halmashauri Fulani,nimeomba mkopo wa wafanyakazi kwa makato ya sh 138000 kwa Kila mwezi kwa muda wa miaka 8.
Ukizidisha sh 138000 kwa miaka 8 ni jumla ya sh isiozidi 13250000/-.
Jambo langu ni hapa, Nimepewa barua ya kumkabidhi mwajiri wangu aingize makato ya sh 138000/- kwa miaka nane na jumla ya hela kwa miaka yote ni sh 13525000/-

Nimemuliza afisa mikopo mbona hivi? Anasema ndiyo iko hivyo na mikopo mingi system zao zinawaletea hivyo, Ila hilo halisumbui kwani muda wa mkopo ukiisha system inajifunga automatic!.

Swali langu kabla sijazozana nao,je nikweli analosema afisa mkopo wa benk X litakua hivyo?
Kama ni kweli kwanini wasiweke tarakimu kamili, wanakwama wapi ktk Zama hizi za kompyuta na teknolojia?

Kabla sijapeleka Jambo hili TAKUKURU naomba mawazo yenu enyi jamaa zangu!
Asante!
Ko shida 300000 sio
 
Nawasalimu wanajukwaa!
Natatizwa na Jambo kuhusu mkopo wa benki Fulani,Itakapolazimu nitaitaja.
Mimi ni mtumishi wa umma ktk halmashauri Fulani,nimeomba mkopo wa wafanyakazi kwa makato ya sh 138000 kwa Kila mwezi kwa muda wa miaka 8.
Ukizidisha sh 138000 kwa miaka 8 ni jumla ya sh isiozidi 13250000/-.
Jambo langu ni hapa, Nimepewa barua ya kumkabidhi mwajiri wangu aingize makato ya sh 138000/- kwa miaka nane na jumla ya hela kwa miaka yote ni sh 13525000/-

Nimemuliza afisa mikopo mbona hivi? Anasema ndiyo iko hivyo na mikopo mingi system zao zinawaletea hivyo, Ila hilo halisumbui kwani muda wa mkopo ukiisha system inajifunga automatic!.

Swali langu kabla sijazozana nao,je nikweli analosema afisa mkopo wa benk X litakua hivyo?
Kama ni kweli kwanini wasiweke tarakimu kamili, wanakwama wapi ktk Zama hizi za kompyuta na teknolojia?

Kabla sijapeleka Jambo hili TAKUKURU naomba mawazo yenu enyi jamaa zangu!
Asante!
Angalau ungetaja kiasi cha mkopo uliokopa na riba kwa mwaka then ingekuwa rahisi kukushauri. Unachotakiwa kujua mikopo ya benki jumla ya marejesho huwa ni kubwa kadri unavyoorushisha kwa kipind kirefu.
 
Nawasalimu wanajukwaa!
Natatizwa na Jambo kuhusu mkopo wa benki Fulani,Itakapolazimu nitaitaja.
Mimi ni mtumishi wa umma ktk halmashauri Fulani,nimeomba mkopo wa wafanyakazi kwa makato ya sh 138000 kwa Kila mwezi kwa muda wa miaka 8.
Ukizidisha sh 138000 kwa miaka 8 ni jumla ya sh isiozidi 13250000/-.
Jambo langu ni hapa, Nimepewa barua ya kumkabidhi mwajiri wangu aingize makato ya sh 138000/- kwa miaka nane na jumla ya hela kwa miaka yote ni sh 13525000/-

Nimemuliza afisa mikopo mbona hivi? Anasema ndiyo iko hivyo na mikopo mingi system zao zinawaletea hivyo, Ila hilo halisumbui kwani muda wa mkopo ukiisha system inajifunga automatic!.

Swali langu kabla sijazozana nao,je nikweli analosema afisa mkopo wa benk X litakua hivyo?
Kama ni kweli kwanini wasiweke tarakimu kamili, wanakwama wapi ktk Zama hizi za kompyuta na teknolojia?

Kabla sijapeleka Jambo hili TAKUKURU naomba mawazo yenu enyi jamaa zangu!
Asante!
Ukitaka kusaidiwa vizuri, andaa hesabu zako vizuri.

Mkopo uliochukua - hujaweka bayana

Marejesho kwa kila mwezi - 138,000

Marejesho kwa mwaka - 138,000 *12 months = 1,656,000

Marejesho kwa miaka nane 1,656,000*8 = 13, 248,000

Kwa maana hiyo wamekupa document ya jumla ya marejesho 13,520,000 badala ya 13,248,000

Kwa maana hiyo wamezidisha 13,520,000-13,248,000 = 272,000

Kwa maana hiyo unauliza kwanini wamezidisha 272,000?
 
Ukitaka kusaidiwa vizuri, andaa hesabu zako vizuri.

Mkopo uliochukua - hujaweka bayana

Marejesho kwa kila mwezi - 138,000

Marejesho kwa mwaka - 138,000 *12 months = 1,656,000

Marejesho kwa miaka nane 1,656,000*8 = 13, 248,000

Kwa maana hiyo wamekupa document ya jumla ya marejesho 13,520,000 badala ya 13,248,000

Kwa maana hiyo wamezidisha 13,520,000-13,248,000 = 272,000

Kwa maana hiyo unauliza kwanini wamezidisha 272,000?
Asante, umechanganua vizuri, ni kweli kwanini wamezidi kiwango halisi? Nathamini mchango wako sana.
 
Angalau ungetaja kiasi cha mkopo uliokopa na riba kwa mwaka then ingekuwa rahisi kukushauri. Unachotakiwa kujua mikopo ya benki jumla ya marejesho huwa ni kubwa kadri unavyoorushisha kwa kipind kirefu.
Mkopo ni sh 8000000/- na riba ni asilimia 16 kwa mwaka x miaka 8.
 
Asante, umechanganua vizuri, ni kweli kwanini wamezidi kiwango halisi? Nathamini mchango wako sana.

Inawezekana kuna ada tofauti tofauti ambazo wameweka. Lakini ni vizuri na busara kuwaomba wakupe statement/muainisho wa makato kwa kila mwezi hadi unamaliza mkopo.

Hiyo statement itakupa mwongozo kwa sababu itaainisha makato yote.
 
Angalau ungetaja kiasi cha mkopo uliokopa na riba kwa mwaka then ingekuwa rahisi kukushauri. Unachotakiwa kujua mikopo ya benki jumla ya marejesho huwa ni kubwa kadri unavyoorushisha kwa kipind kirefu.
Natambua kuwa jumla ya marejesho yatazid mkopo,nasio Mara ya Kwanza kuchukua mikopo,ila ni hi benk ni Mara ya Kwanza,.Riba ni asil 16 kwa mwaka,reducing balance, mkopo 8000000/-.
 
Mimi sijaelewa makato yanayozidi ni yapi? sababu kiasi ulichokopa na riba havijulikani huenda hata wewe pia huvijui.

niliwahi kuelimishwa kwamba unapoenda kukopa kwenye taasisi za kifedha kwa riba zingatia haya.

1. kiwango cha riba kinahimilika?
2. hiyo riba ni reducing balance
ama ni flat rate ?
katika kufuatilia, nilibaini benki nyingi riba zao ni flat rate.

wengi hayo hatuyajui tunaishia kuulizia riba ni kiasi gani na makato au marejesho kwa mwezi itakuwa kiasi gani basi! lakini katika mambo mengine maafisa wa benki hawatakwambia mfano bima ya mkopo na gharama ya kuandaa mkopo wako. Kumbuka fedha hizi zitakatwa kutoka kwenye mkopo wako ulioomba. kiwango utakachopewa hakitakuwa sawa na kiwango ulichoomba kukopeshwa lakini utarejesha kiwango ulichoomba kukopeshwa
Nimekubali mkopo wa 8mln kwa makato niliyoyataja Mara miaka 8 kwa Riba ya 16asilimia kwa mwaka ni ni recing balance,hoja ni kuwa baada kuisha muda wa8yrs Kuna sh laki 2 Fulani iko nje ya miez 96 ya makato imetoka wapi ikiwa 138000 ni rejesho la Kila mwezi?
 
Nawasalimu wanajukwaa!
Natatizwa na Jambo kuhusu mkopo wa benki Fulani, itakapolazimu nitaitaja.

Mimi ni mtumishi wa umma ktk halmashauri Fulani, nimeomba mkopo wa wafanyakazi kwa makato ya sh 138000 kwa Kila mwezi kwa muda wa miaka 8.

Ukizidisha sh 138000 kwa miaka 8 ni jumla ya sh isiozidi 13250000/-.
Jambo langu ni hapa, Nimepewa barua ya kumkabidhi mwajiri wangu aingize makato ya sh 138000/- kwa miaka nane na jumla ya hela kwa miaka yote ni sh 13525000/-

Nimemuliza afisa mikopo mbona hivi? Anasema ndiyo iko hivyo na mikopo mingi system zao zinawaletea hivyo, Ila hilo halisumbui kwani muda wa mkopo ukiisha system inajifunga automatic!.

Swali langu kabla sijazozana nao,je nikweli analosema afisa mkopo wa benk X litakua hivyo?

Kama ni kweli kwanini wasiweke tarakimu kamili, wanakwama wapi ktk Zama hizi za kompyuta na teknolojia?

Kabla sijapeleka Jambo hili TAKUKURU naomba mawazo yenu enyi jamaa zangu!
Asante!
Kama kila mwezi unakatwa kiasi hicho na umezidisha kwa kipindi chote cha kulipa mkopo na bado wanakudai zaidi ya kiwango hicho ni vizuri ushtuke mapema, kama hao loan officers hawatakupa majibu yanayoridhisha we nenda kwa meneja wa tawi husika.

Kuna wizi unafanyika kwenye mabenki, usiwaamini sana hao watu tena wanalizwa sana wanaochukua mikopo, inapigwa Kama laki 3 na huioni kwenye bank statement.
 
Nimekubali mkopo wa 8mln kwa makato niliyoyataja Mara miaka 8 kwa Riba ya 16asilimia kwa mwaka ni ni recing balance,hoja ni kuwa baada kuisha muda wa8yrs Kuna sh laki 2 Fulani iko nje ya miez 96 ya makato imetoka wapi ikiwa 138000 ni rejesho la Kila mwezi?
Ninavyofahamu mimi unapoenda kuomba mkopo huwa kuna gharama fulani za ku uandaa huo mkopo hadi uupate, nadhani ndio zilizoongezeka hapo.
 
Mimi sijaelewa makato yanayozidi ni yapi? sababu kiasi ulichokopa na riba havijulikani huenda hata wewe pia huvijui.

niliwahi kuelimishwa kwamba unapoenda kukopa kwenye taasisi za kifedha kwa riba zingatia haya.

1. kiwango cha riba kinahimilika?
2. hiyo riba ni reducing balance
ama ni flat rate ?
katika kufuatilia, nilibaini benki nyingi riba zao ni flat rate.

wengi hayo hatuyajui tunaishia kuulizia riba ni kiasi gani na makato au marejesho kwa mwezi itakuwa kiasi gani basi! lakini katika mambo mengine maafisa wa benki hawatakwambia mfano bima ya mkopo na gharama ya kuandaa mkopo wako. Kumbuka fedha hizi zitakatwa kutoka kwenye mkopo wako ulioomba. kiwango utakachopewa hakitakuwa sawa na kiwango ulichoomba kukopeshwa lakini utarejesha kiwango ulichoomba kukopeshwa
[emoji122][emoji122][emoji122]. Mkuu jinsi unavyoeleza kiufasaha jambo, waweza kuwa ni mwalimu ama ni mwalimu ki kada. Ninefurahishwa sana na comment yako hii inayoelimisha.
 
Back
Top Bottom