Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unashauri mtandao gani nzuri wa internentNa mm ninazo mbili hapa home za smile
Unauza?Na mm ninazo mbili hapa home za smile
Ndio Ila kwa sasa nipo mbali na homeUnauza?
Kwa huku kwetu ni halotel na vodaWewe unashauri mtandao gani nzuri wa internent
Sawa mkuuNdio Ila kwa sasa nipo mbali na home
Ni zile nyeupe au nyeusi? Nyeupe naskia zinafunguka, kasheshe tule tweusi twa sasa hivi naskia ni changamoto ku unlock, ila naamini hakuna linaloshindikana hapa chini ya jua....Nina router ya Home Internet ya Tigo sasa kwa wale wenye ujuzi wa ku unlock niweze kutumia kwa laini zote nahitaji msaada please.
Hii yz smile ya 4g mi nilifanikiwa kubadilisha na kuweka line ya tigo na inadunda vizuri tu so far. Ni ya 4G lakini. Haipati moto naiwachaga inapiga 24 hours and more. Nafikiri in my opinion if you ask me mkwa sasa kwetu hapa Tanzania 4G ni reliable in almost every place. Hii mambo ya kikimbilia 5G ni hadithi za abunuwasi na hawa MNO wanajua running it is costly. They can not afford its infrastructures cause they are definitely expensive.Na mm ninazo mbili hapa home za smile