prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 191
Nilituma maombi, nikapata email kwamba natakiwa kufanyiwa online assessmnets katika vitu vifuatavyo:
1. Abstract reasoning test
2.. Numerical test
3. Work related strength assessment
wadau naomba kujuzwa jinsi inavyofanyika na mifano ya hayo maswali katika kila kipengelee ili nijiandae maana nimefanya interview ila sijawahi kukutana na hivi vitu. This is important chance in my life. Natanguliza Shukran zangu za dhati.
1. Abstract reasoning test
2.. Numerical test
3. Work related strength assessment
wadau naomba kujuzwa jinsi inavyofanyika na mifano ya hayo maswali katika kila kipengelee ili nijiandae maana nimefanya interview ila sijawahi kukutana na hivi vitu. This is important chance in my life. Natanguliza Shukran zangu za dhati.