Dionize N
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,848
- 3,293
Habari zamchana wana bodi, samahani wakuu kwa wale wataalam wa ufugaji wa kuku nahitaji msaada wenu.
Nimeanza kufuga sasa nina mwezi wa tatu. Nafuga kuku chotara wa mayai, nimekumbana na hiki kitu sikielewi kuku wangu wana nyonyoka manyoya migongoni na wanadonoana sana.
Nimejaribu kuwapa vitamins lakini bado tatizo linaendelea. Mdau mwingine akaniambia wanakosa calcium lakini chakula chao kinachanganywa na calcium ya kutosha pia naombeni msaada wenu juu ya hili.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Nimeanza kufuga sasa nina mwezi wa tatu. Nafuga kuku chotara wa mayai, nimekumbana na hiki kitu sikielewi kuku wangu wana nyonyoka manyoya migongoni na wanadonoana sana.
Nimejaribu kuwapa vitamins lakini bado tatizo linaendelea. Mdau mwingine akaniambia wanakosa calcium lakini chakula chao kinachanganywa na calcium ya kutosha pia naombeni msaada wenu juu ya hili.
Natanguliza shukran zangu za dhati.