Msaada juu ya vyeti

Msaada juu ya vyeti

Afande Nyati

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,385
Reaction score
1,414
Nimeona nililete hili suala humu kwa kuwa ni sehemu sahihi yenye watu sahihi. Ndugu zangu nina vyeti 2 ambavyo vina mushkeli kidogo katika jina. Na juz juz nilikosa nafac ya interview kwa sababu ya vyeti hivyo.

Tofauti iliyopo ni katika jina "SAID" vyeti vyangu vyote icpokuwa hivi 2 viliandikwa "SAID" ila katika leaving cerrificate 1 ya 4m 4 na cheti cha drs la 7 wameongeza "I" na kuwa saidi. Je hapa kisheria ni kosa? Na kama ni kosa nifanyeje wakuu na shule wamesema haiwezekani kutoa vyeti vingine. Msaada jamani
 
NADHANI ukiwasiliana na mamlaka husika zilizotoa vyeti hivyo mkienda mahakamani kuapa mtapewa waraka utakaothibitisha kuwa bwana SAID na SAIDI ni mtu mmoja,hivyo kuondoa uvulivuli katika jambo lako
SWALI LA KIZUSHI: Hivi mkuu living certificate na cheti cha darasa la saba vinatumika kuombea kazi eeee?#justCurious
 
NADHANI ukiwasiliana na mamlaka husika zilizotoa vyeti hivyo mkienda mahakamani kuapa mtapewa waraka utakaothibitisha kuwa bwana SAID na SAIDI ni mtu mmoja,hivyo kuondoa uvulivuli katika jambo lako
SWALI LA KIZUSHI: Hivi mkuu living certificate na cheti cha darasa la saba vinatumika kuombea kazi eeee?#justCurious

Taasisi za usalama mkuu i.e jkt, polisi etc
 
NADHANI ukiwasiliana na mamlaka husika zilizotoa vyeti hivyo mkienda mahakamani kuapa mtapewa waraka utakaothibitisha kuwa bwana SAID na SAIDI ni mtu mmoja,hivyo kuondoa uvulivuli katika jambo lako
SWALI LA KIZUSHI: Hivi mkuu living certificate na cheti cha darasa la saba vinatumika kuombea kazi eeee?#justCurious

Mkuu cjaelewa, niwasiliane na taasisi zilizotoa vyeti moja kwa moja au niende tu mahakamani nikaape?
 
Back
Top Bottom