Habari wakuu!!? Niko na shida kidogo naombeni dalili za mwanzo kabsa za HIV tangu kuambukizwa!!
Nb kwa anafaham lakin
Mkuu ukimwi haupo upo kichwani mwako yaani Ni just manipulation tu ya elite society kuinyonya dunia. Hebu Soma Kuna nyuzi humu za jamaa mmoja anaitwa deception utauelewa.iko ivi ukiwa hauna ukimwi Ila mtu akani manipulate yake majibu ukapewa kuwa unao utaanza kweli kuwa na ukimwi nikuambie ukweli. Ukianza kuzitumia sawa Kinga yako inakuwa dependent on it so we/o no surviving.
Virus wakiingia mwilini Ni fasta dalili zinaonekana Ila Hawa virus wao hawaonekani wanapima tu antibodies whether they're positive or negative.
Omba wakuonyeshe hata mchoro wa was hiv virus hawana.
Hii Ni biashara ya watu Kama walivyoleta korona sema wakashindwa kupiga hela kwa muda mrefu sema kwa muda mchache walifanikiwa na wajanja walipata billions of USD .
Unaweza ukawa na positive or excess antibodies due to various reasons yaani mana yake Ni kuwa Askari wengi mno wamefungilia ili kupambana na adui akaingia mwilini ambaye Ni mkubwa sana.sasa Askari wa mwili kuachiwa na self mechanism ya mwili sio kuwa Ni kuwa Ni huo ukimwi tunaoaminishwaga.
Nakuomba update habari za kina sana about this shit.
Kiukweli I don't regret to go to school.
When you go to school or told something or learn something don't go totally whole always retain some percentage of pessimism.
Ni muhimu sana Sasa sema ukiwa school unaamini kabisa Kama vile uko na kwenye finish na hata huko kwenye finish haitakiwi uamini mazima inatakiwa ubakize ubongo fulani wa ku question reality,kinachosemwa,ukikabididhi akili yako huko utaumia.
Kwa saivi Niko hapa tz mahalo fulani Kuna daktari wetu wa kiafrika anaunga watu mifupa mpaka madaktari wa walisoma elimu ya mkoloni wanaleta ndugu zao.
Sasa wewe Zama mazima halafu disi nature mana wazungu wamekuaminisha kuwa vya kwao ndio vizuri Ila vya kwetu Ni vinay. Ndio mana mwanao unaona ufahari kuongea English na lugha yenu haijui so unajiproud mbaya sana