Msaada: Kaka yangu anateswa bila ya hatia

Msaada: Kaka yangu anateswa bila ya hatia

Jamani Ahsanteni Sana Kwa Ushauri Wenu Kiasi Nimeufanyia Kazi But Police Walichokifanya Ni Kumwacha huru Dhen Wamemkamata Yeye Na Mchumba Wake Katika Kituo Kingine Na Wamegoma Jamaa Kuwekewa Dhamana Na MTU yeyote But Bado Kama Familia Tuko Tuna faight Jamaa Awe Huru

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom