Msaada: Kaka Yangu Kahukumiwa Miaka 30 Leo

Msaada: Kaka Yangu Kahukumiwa Miaka 30 Leo

Pole sana sana mkuu, lakini kupitia kaka yako tunapata somo kua si vizuri kununua simu kwa mtu haijalishi ni nani.

Mkuu je ukipewa ushauri ambao utahitaji tena pesa itakuaje?? Ndio utakwama tena??
nishauri mkuu maana nipo hapa kuomba ushauri
 
Ndo muda wako Sasa kwenda kumtunza shemeji yako serikali kilasiku kupitia TCRA na polisi wanawambia acheni kutumia laini zilizosajiliwa nawengine pia kununua vitu mitumba aina hiyo
 
Kiimsingi katika sheria, baada ya maamuzi kutolewa juu ya kesi yoyote nafasi inayobaki ikiwa kunaupande haujaridhika na maamuzi nikukata rufaa.

Naomba nitumie nakala ya hukumu DM then tuone tunafanyaje.
nilikueko mahakamani yaani hata kipindi wanapewa hukumu hatukuepo tulizuiwa kuingia tumekuja kuruhusiwa kuingia tayari wameshahukumiwa

hata nakala sjui ni nani hua anakaa nazo tuliingia kuonana na kaka akaniambia tayari nmeshahukimiwa
 
Ndo muda wako Sasa kwenda kumtunza shemeji yako serikali kilasiku kupitia TCRA na polisi wanawambia acheni kutumia laini zilizosajiliwa nawengine pia kununua vitu mitumba aina hiyo
yaani
 
Kwa ufupi kesi ya kaka angu yeye ni machinga, aliuziwa simu na mtu baada ya kuitumia hiyo simu kama wiki mbili alikamatwa

Kosa ile simu aliyonunua iliporwa kwa nguvu kutumia silaha na kupora vitu baadhi ikiwemo pikipiki, na katika sakata hilo walikamatwa watu watatu akiwemo na yeye.

Wakapelekwa polisi kwa upelelezi badae kesi ikaenda Mahakamani wamekaa miezi tisa mmoja wao alitoka wiki mbili zilizopita wakabaki wawili.

Leo ilikuwa siku ya hukumu na imetokea kama nilivyoeleza hapo juu,

Nimeongea na kaka amelia sana anasema wamefungwa kwa kukosa hela ambapo mwenzao kesi ya pamoja ametoka kwa kutumia pesa. Kwa upande wetu pesa hatuna familia ya kimasikini

Naomba msaada kama kuna utaratibu upi tuutumie kama familia, imeniuma sana kuona kaka anafungwa miaka yote hiyo.

yuda exalioth
Jamiiforms
geita
Very sad, maisha haya Askari wetu hawana weredi wa investigation, ni kazi sana kwa mazingira ya kwetu. Pesa mbele, dhuruma , mateso etc
 
Back
Top Bottom