Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Ninakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.Wakuu.
Kaka yangu ni kichaa fulani, alikula msuba(bangi) nyingi sana zamani,mm nikiwa mdogo ,bila kazi ya kipato.
Kaka yangu ni nguzo ya Taifa na ni msaada mkubwa sana.
Nifanyeje kumtibu?Kama kuna dawa au chochote naomba niambiwe. Siwezi kumwacha kaka.
Asante.
Ninakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuzia acha huko huko nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.
Kuongezewa dozi?mpeleke sober house
milembe na sober zipo kwa ajili yake chagua kwa kumpeleka
be___blessed
Bibie unacheka nimetoa dawa pasipo na malipo?binafsi nimecheka jaman
Bibie unacheke nimetoa dawa pasipo na malipo?
Ndio ikaitwa Dawa kwani kuna dawa tamu?duh hv upo serious?kwann wampige?huon km ni kumuumiza kihisia hvyo?na suala la kwenda makaburin sio iman haba hiyo jaman
Hatari hiibinafsi nimecheka jaman
Master mzizi mkavu umetisha kalumanzilaNdio ikaitwa Dawa kwani kuna dawa tamu?
ushirikina on work.Ninakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.
duuuuuhNinakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.
Wakuu.
Kaka yangu ni kichaa fulani, alikula msuba(bangi) nyingi sana zamani,mm nikiwa mdogo ,bila kazi ya kipato.
Kaka yangu ni nguzo ya Taifa na ni msaada mkubwa sana.
Nifanyeje kumtibu?Kama kuna dawa au chochote naomba niambiwe. Siwezi kumwacha kaka.
Asante.
[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aiseeee! Nimecheka sanaNinakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.