Msaada: Kaka yangu kichaa, alivuta bangi sana zamani

Msaada: Kaka yangu kichaa, alivuta bangi sana zamani

Ninakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.
Tutaua mkuu kwa stlye hii.
 
Wakuu.

Kaka yangu ni kichaa fulani, alikula msuba(bangi) nyingi sana zamani,mm nikiwa mdogo ,bila kazi ya kipato.

Kaka yangu ni nguzo ya Taifa na ni msaada mkubwa sana.

Nifanyeje kumtibu?Kama kuna dawa au chochote naomba niambiwe. Siwezi kumwacha kaka.

Asante.
Mpeleke hospital yoyote ya umma madaktari wa magonjwa ya Afya ya ajili wakamuone.
 
Wakuu.

Kaka yangu ni kichaa fulani, alikula msuba(bangi) nyingi sana zamani,mm nikiwa mdogo ,bila kazi ya kipato.

Kaka yangu ni nguzo ya Taifa na ni msaada mkubwa sana.

Nifanyeje kumtibu?Kama kuna dawa au chochote naomba niambiwe. Siwezi kumwacha kaka.

Asante.
Mh! una uhakika kweli ni kaka yako? kwa sababu uzi wenyewe una mushkeli, oooo.....kaka yangu ni nguzo ya taifa. Nomba ufafanuzi kidogo kuhusu hilo taifa. Pole/ Mpe pole na mwache kutumia msuba
 
Ninakupa Dawa ya kumtibu kaka yako huo ugonjwa wa ukichaa cha bangi fanya hivi Mumfungie chumbani kwa muda wa siku 3 kwa siku ya kwanza apatikane mtu wa kumpiga mikanda mwilini asubuhi kwa muda wa dakika 10 amtandike barabara mgonjwa kisha mumpe chakula ale. Chakula chenyewe wali apikwe na kuku wenye supu ya pilpili mtama na tangawizi. Na Wakati wa jioni apigwe tena mikanda kwa muda wa dakika 10 kisha aogeshwe na kama ana manywele mengi kichwani akatwe na aogeshwe na kupewa chakula kama mulivyo mpa asubuhi. Apigwe kwa njia hizo kwa muda wa siku 3 ila wakati wa mchana munaweza kumpa chakula pasipo na kumpiga .Baada ya siku 3 mumchukuwe kaka yako mgonjwa mumpeleke Karibu na makaburini usiku iwe saa 6 usiku mumfunge kitambaa cheupe usoni mumpeleke kwenye kaburi lolote akae kwenye hilo kaburi mumu ambie ahesabu moja mpaka 100 anapo anza kuhesabu muondoke hapo mumu ache peke yake atakapo maliza kuhesabu na kufunguwa kitambaa usoni atajiona yupo makaburini ataondoka kurudi nyumbani. Akifika nyumbani asiingie chumbani au chumba chochote mumpeleke chooni akaoge kwa maji ya chumvi ya mawe , na kuziacha huko huko chooni nguo zake alizo toka nazo makaburini mumpe nguo mpya zile nguo zake mukazitupe atakuwa amekwisha kupona. Jaribu utakuja kunipe Feedback.
Sasa hiyo ni tiba gani Mkuu....! Kienyeji (asili) ama ni tiba gani tuiite..?

Mbona vichaa wengi wa Bange hawapatiwi tiba ya aina hii...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu.

Kaka yangu ni kichaa fulani, alikula msuba(bangi) nyingi sana zamani,mm nikiwa mdogo ,bila kazi ya kipato. Asante.

Inawekana kuwa ana tatizo fulani, lakini anatumia Bangi ili kwamba asahau matatizo yake, au pia inawezekana kama akawa mmoja wa watu ambao ni rahisi kuwa addicted kwa vitu vingi. Usikate tamaa, wengi waliumwa ,wana matatizo kama kwenye depression, wamekata tamaa na maisha, au kitu fulani kikubwa kibaya kimetokea kwenye maisha yao (Amepoteza kazi, Mke amemwacha, Wazazi wamefariki, Ngudu wengi inabidi awasaidie ni mtu mzuri lakini hana pesa za kutosha kumsaidia kila ndugu wake wote.) baadaye wakwa wazuri tu.

Don't lose hope. Mpeleke Muhimbili, wana psychologists wanaweza kumsaidia. Kama una pesa muda mfupi ulipe pesa wampeleke kwenye vyumba private kwa mtu mmoja.

Ni vizuri sana na watamsaidia vizuri sana au kuna hospitali tanga ni private ya catholic ambayo unaweza kulipa na kusaidia. Lakini ni gharama kubwa sana.
 
Back
Top Bottom